Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #61
Kuna watu wanataka mama aingie kwwnye mgogoro na wamachinga.CCM ya mwendaze isilete chokochoko awamu yao ishakwenda na maji tupo awamu ya sita ya Mama yetu!! Hateki wala hauwi mtu for yor info....msimdanganye maza mapemaa hivi aanze vita na wamachinga..mshindwee!! Mbona wakati baba yenu yupo hamkuviondoa??
Akifanya hivyo atapelekea social unrest ya kutisha.
Nimkumbushe Rais Samia kuwa Magufuli alikuwa very popular mwaka 2016 mpaka pale alipoanza kuvuruga maisha ya watu kama vile kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara-Mbezi kiuonevu, hapo ndipo alipoanza kupoteza sapoti kubwa aliyokuwa nayo hadi kufikia kutumia njia za kimafia kurudisha sapoti.
Sasa Samia moment yake ya U turn ya kupoteza Uungwaji mkono nchini inaweza kuwa ni namna atakavyodeal na wamachinga. Akitumia miguvu bila akili serikali yake ikachukiwa atajikuta kwenye hali ngumu sana ya kiuongozi nchini!