Rais Samia Suhuhu Hassan, mama wa Taifa naomba unialike hapo ikulu nije kunywa chai mama

Rais Samia Suhuhu Hassan, mama wa Taifa naomba unialike hapo ikulu nije kunywa chai mama

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Shkamoo mama, najua protocol haziruhusu ila naomba unialike hata tusipo onana ni sawa, nahitaji tu kunywa chai ya ikulu na kupunga hewa kwa nusu saa kabla sijarudi mtaani kuendelea na utafutaji.

Ntashukuru sana mama japo sikubaliani na wewe katika mambo kadhaa ila natamani kunywa chai ya ikulu, nikipata na chapati 2 itakuwa safi zaidi japo chapati zinaendana na supu ila sitaki kukusababishia gharama.

Asante.
tea_mobama-_012515064953.jpg

images - 2024-03-28T101424.595 (1).jpeg
 
Kama wewe ni CHADEMA uukiletewa vitafunwa unaviona hivi 😁😁
FB_IMG_17419709129924390.jpg
 
Mimi Anialike Na Niandaliwe Ile Biriani Ya Ngamia Au Biriani Ya Tausi
 
Mimi namuomba aniwekee mzigo tu kwenye akaunti yangu kama milioni 100 hivi ili nifungue kampuni na kuajiri vijana kadhaa wapambanaji.

Maana mabenki yetu kiukweli yanatuchakaza sana kupitia riba zao za juu na zisizo rafiki kwa wakopaji. Halafu yana masharti magumu sana kwenye kuomba mkopo.
 
Mimi namuomba aniwekee mzigo tu kwenye akaunti yangu kama milioni 100 hivi ili nifungue kampuni na kuajiri vijana kadhaa wapambanaji.

Maana mabenki yetu kiukweli yanatuchakaza sana kupitia riba zao za juu na zisizo rafiki kwa wakopaji. Halafu yana masharti magumu sana kwenye kuomba mkopo.
100 tafuta utaipata ila chai ya ikulu ni ngumu kupatikana
 
Shkamoo mama, najua protocol haziruhusu ila naomba unialike hata tusipo onana ni sawa, nahitaji tu kunywa chai ya ikulu na kupunga hewa kwa nusu saa kabla sijarudi mtaani kuendelea na utafutaji.

Ntashukuru sana mama japo sikubaliani na wewe katika mambo kadhaa ila natamani kunywa chai ya ikulu, nikipata na chapati 2 itakuwa safi zaidi japo chapati zinaendana na supu ila sitaki kukusababishia gharama.

Asante.
View attachment 3270840
View attachment 3270842
Mama ameona thread yako, tutakufuata PM kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kufika ikulu.
Ikulu ni ya Watanzania wote. Pamoja tunaijenga Tanzania iliyo bora. 😛😂😂
 
Back
Top Bottom