Rais Samia Suluhu afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali

Rais Samia Suluhu afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali

Pongezi nyingi kwa Prof. Ole Sante Ole Gabrieli kwa kuteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama.
Prof. Gabrieli ni kiongozi mchapakazi, mwenye maono, mbunifu na pia ni mtu wa haki sana asiye kubali dhuluma wala uonevu,
ni mfuatiliaji asiye danganyika wala kuburuzwa.

Akiwa kama mtendaji Mkuu hakika ataleta mabadiliko ya kweli ktk mhimili wa mahakama, lkn asikubali mazoea, anatakiwa afanye mabadiliko ktk utendaji, awe mfuatiliaji wa karibu.

endapo Prof. Ole Sante Ole Gabrieli anataka kufanikiwa na kuweka legacy yake basi anapaswa afanye mabadiko makubwa ili aweze kufikia malengo, aondowe mazoea, aondoe uonevu, na aimarishe uwazi na haki, ahakikishe haki ina tawala kuazia kwenye Mhimili wenyewe na kwa wananchi kwa ujumla.
 
Hii Ya Prof. Elsante Ole Gabriel Naona Kama Ni Silent Demotion, Kutoka Kuwa KM Wa Wizara Mpaka Kuwa Mtendaji Mkuu Wa Mahakama.

Wajivu Wa Mambo Tuwekane Sawa View attachment 1895856
Prof Ole Sante Ole Gabrieli sio tu kapanda bali pia kapewa heshima kubwa ya kuusimamia Muhimili wa Mahakama.
Prof; Ole ni kiongozi shapu sana na ni mbunifu.
hakika ataubadilisha sana huu Muhimili wa haki.
 
..CDF wa mwisho Muislamu alikuwa Luteni Jenerali Abdala Twalipo " kamanda chakaza."

..Twalipo alikuwa CDF wa pili wa JWTZ, akimrithi Meja Jenerali Mirisho Sarakikya.

..Wakati anateuliwa Abdala Twalipo alikuwa ni mkuu wa mkoa wa ziwa magharibi [kagera] na alikuwa na cheo cha Kanali.

..Hivyo alipandishwa cheo na Rais Mwalimu Nyerere kuwa Meja Jenerali na Mkuu wa JWTZ.

..Twalipo alitumikia kama CDF kuanzia mwaka 1974 mpaka 1980 baada ya vita vya Kagera.

..Mwaka 1985 Abdala Twalipo alipandishwa cheo na kuwa Jenerali [ 4 star General ] wa kwanza ktk JWTZ.

NB:

..JWTZ haijawahi kuwa na CDF au CoS Mzanzibari.

..Pia hatujawahi kuwa na IGP Mzanzibari.
Ni suala la Muda tu.
 
Hivi kamati ya uteuzi sisi wengine hamtuoni eee...
Basi na wewe inabidi kesho uanze safari ukatuwakilishe kule visiwa vya Solomon's, ili usiendelee kusononeka sana. Sawa?
 
Italy alikuwa mzee Madafa, Ambaye alikaimu nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama kabla Magufuli hajamtupa Italy, Sasa anaenda wapi? Mnadhimu wa Jeshi pia kupewa ubalozi inafungua njia kwa ajili ya CDF mpya?
 
Hivi mara ya mwisho kuwa na CDF muislam ilikuwa lini...?


Samahani lakini, kwa nia njema kabisa
Umeshasamehewa shekhe.
Chaguzi hazifanywii kwa kufuata imani ya mtu jomba. Inaangaliwa ueledi na umakini wa mtu. Nafasi nyeti kama hizo haipaswii hata kidogo kufuata shinikizo, friendship, politics and the likes. Hilo jambo lilimgharim jk kwa kuingiza vyeo vya ajab ajab jeshini yaan watu watatu waripoti kwake na wote wanajiona ni top hakuna wakumpigia mwenzake salute. Very poor regime. Ashukuriwe mwamunyange kwa hekima zake, japo walitaka kummaliza ila kaponea kwa MUNGU tuu..
 
Kadi ya CCM

Degree kutoka Jalalani University

Pia ni mwanamke hivyo gender equality imezingatiwa
Mkuu tuwe na staha japo kidogo. Haijanichukua hata nusu dakika kupata huu wasifu wake ukigoogle jina lake:

Elsie S. Kanza is a national of Tanzania, who was born and raised in Kenya. Elsie serves as the Senior Director, Head of Africa at the World Economic Forum. At the Forum the Africa Team is responsible for the Forum’s Africa Strategy and champions multi-stakeholder regional initiatives, such as Grow Africa partnership initiative, Africa Strategic Infrastructure Initiative, Water Resources Group Partnership initiative, and Responsible Mineral Development Initiative in collaboration with regional organisations. Previously she served as Personal Assistant to H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania responsible for Economic Affairs from 2006 to 2011. Prior to that, she worked with the Ministry of Finance and central Bank of Tanzania in various capacities from 1997 to 2006. Elsie holds a BSc (cum laude) in International Business Administration from the United States International University – Africa, an MSc in Finance from the University of Strathclyde and an MA in Development Economics from Williams College. She is also a World Economic Forum Young Global Leader (2011) and an Archbishop Desmond Tutu Leadership Fellow (2008).

 
Pongezi nyingi kwa Prof. Ole Sante Ole Gabrieli kwa kuteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama.
Prof. Gabrieli ni kiongozi mchapakazi, mwenye maono, mbunifu na pia ni mtu wa haki sana asiye kubali dhuluma wala uonevu,
ni mfuatiliaji asiye danganyika wala kuburuzwa.

akiwa kama mtendaji Mkuu hakika ataleta mabadiliko ya kweli ktk mhimili wa mahakama, lkn asikubali mazoea, anatakiwa afanye mabadiliko ktk utendaji, awe mfuatiliaji wa karibu.
endapo Prof. Ole Sante Ole Gabrieli anataka kufanikiwa na kuweka legacy yake basi anapaswa afanye mabadiko makubwa ili aweze kufikia malengo, aondowe mazoea, aondoe uonevu, na aimarishe uwazi na haki, ahakikishe haki ina tawala kuazia kwenye Mhimili wenyewe na kwa wananchi kwa ujumla.
Mtu mmoja ana busara sana na akili nyingi, mfumo usimharibu tu. He is very humble.
 
Prof; Elisante Gabrieli anapaswa ajenge Muhimili wa Mahakama amabo itawaleta watumishi wote wa muhimili kuwa kitu kimoja, maelewano na mshikamano, anapaawa aondoe uonevu, fitina ndani ya Muhimili.

huwezi kuwa na Muhimili wenye kutoa haki wakati ndani ya muhimili kumeoza au kuna chuki miongoni mwao, au kuna hila miongoni mwao, au kuna uonevu, au hakuna haki miongoni mwao n.k

Lazima Prof. Gabrieli ahakikishe anasafisha anaondoa mambo yote hayo ili wahusika ktk Muhimili huo wawe kitu kimoja na hatimaye wananchi wote tutakuwa na Imani na Muhimili wa Mahakama.
 
SI kweli. Katibu Mkuu Kiongozi ndiye boss wao. Mtendaji Mkuu wa Mahakama na KM wa wizara ni hadhi moja.
 
Pongezi nyingi kwa Prof. Ole Sante Ole Gabrieli kwa kuteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama.
Prof. Gabrieli ni kiongozi mchapakazi, mwenye maono, mbunifu na pia ni mtu wa haki sana asiye kubali dhuluma wala uonevu,
ni mfuatiliaji asiye danganyika wala kuburuzwa.

akiwa kama mtendaji Mkuu hakika ataleta mabadiliko ya kweli ktk mhimili wa mahakama, lkn asikubali mazoea, anatakiwa afanye mabadiliko ktk utendaji, awe mfuatiliaji wa karibu.
endapo Prof. Ole Sante Ole Gabrieli anataka kufanikiwa na kuweka legacy yake basi anapaswa afanye mabadiko makubwa ili aweze kufikia malengo, aondowe mazoea, aondoe uonevu, na aimarishe uwazi na haki, ahakikishe haki ina tawala kuazia kwenye Mhimili wenyewe na kwa wananchi kwa ujumla.
Hivi ni Ole sante ole Gabriel ama ni Elisante Ole Gabriel?

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Elsie Sia Kanza hapo Tanzania imepata balozi anayefaa kabisa kuiwakilisha nchi yetu .
Elsie S. Kanza was born and raised in Kenya by Tanzanian parents.[3] She started her education in Kenya before proceeding to the United States of America and graduated with a bachelor's degree from the United States international university- Africa in Business Administration and later on bagged a master's degree in Finance from the University of Strathclyde, United Kingdom and an MA in Development Economics, Center for Development Economics, Williams College, USA.[1]

Kwa hisani ya Wikipedia

KAZI IENDELEE 💪🏾
 
Pongezi kwa wale watumishi wote wanao staafu....angalau kustaafu kwao kunatoa fursa kwa vijana kuchukua nafasi.
Maana kwenye Sekta ya Utumishi wa Umma kuna watu wanazeekea na hata kuifia kwenye utumishi.
Umri umewatupa mkono lkn kwa sababu walifoji umri unamkuta bado yupo anatumikia, kqchoka taabani.
tunawashauri ni bora wakastaafu kwa hiari ili wapate kupumzisha miili yao.
pongezi kwa wale wote wanao staafu kwa hiari.
 
Nakumbuka jwtz ilikuwa na wanadhimu wawili ambao aliwaacha JPM, nadhani magu alifanya hivyo ili kuwe na competition maana ilikuwa imeshazoeleka ukiwa mnadhimu basi ur next CDF (ukiachana na bingwa wa upigaji wa mizinga East and central Africa luten General msataafu mwakibolwa)
Italy alikuwa mzee Madafa, Ambaye alikaimu nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama kabla Magufuli hajamtupa Italy, Sasa anaenda wapi? Mnadhimu wa Jeshi pia kupewa ubalozi inafungua njia kwa ajili ya CDF mpya?
 
Back
Top Bottom