Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Wacha bwana, Samia mke mmoja kati ya wake watatu????
Inamaana ulikuwa hujui ?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha bwana, Samia mke mmoja kati ya wake watatu????
Hawa wanadhimu mara nyingi wanamaliziaga utumishi wao katika balozi nakumbuka akina Lt.Gen. A.Shimbo, alisogezwa China huko na wengine wengiDuu...luteni jenerali ndo ameshachomolewa jeshini hapo
😂 😂 😂Zamu yetu Wazanzibari asiyetaka ahamie Burundi
YepWatu kama hao huwezi kuwakuta kwenye utendaji ndani ya nchi, they are more attached to the world leadership......
Hawataki MTU wa kuwahàribia madili yaoKwa CV huyu alitakiwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha? hivi kwanini asioneshe impact yake pale wizarani kwa kupewa ukatibu mkuu kuliko kupewa hii ya ubalozi.
[emoji23][emoji23] dah, aisee hizi taarifa nyeti hiviImebidi watengane na mumewe Hadi amalize urais maana serikali haiwezi kuwa na mtu leo analala ikulu kesho mkoa mjini kkutwa kichochoro kingine.
Hii Ya Prof. Elsante Ole Gabriel Naona Kama Ni Silent Demotion, Kutoka Kuwa KM Wa Wizara Mpaka Kuwa Mtendaji Mkuu Wa Mahakama.
Wajivu Wa Mambo Tuwekane Sawa View attachment 1895856
Kuna mahali hawapelekwi vichwa?Naomba kumfahamu Balozi wetu Marekani, maana huko hupelekwa vichwa
Rekodi yake utumishi
Ndo maana akeMasilingi ametoka ama?
Hawana hadhi sawa. Katibu mkuu kiongozi ni mkubwa zaidi kuliko katibu mkuu yeyote nchi hiiKapanda cheo,
Mtendaji mkuu wa mahakama, Katibu wa bunge na Katibu mkuu kiongozi wanahadhi sawa na pia wanafanana kimshahara
Hawana hadhi sawa. Katibu mkuu kiongozi ni mkubwa zaidi kuliko katibu mkuu yeyote nchi hii
Akili yako iko ma ta koniAnateua akiwa Malawi.Hapa hatuna Rais tuna mzurulaji.
Kikwete ndiye aliyetuharibia hii Nchi.
Yeah ni kweli.Ila ninachofurahi mama yako ananipa mzigo kila siku hata siku za hedhi.
Hata mwendazake alifanya hayahaya tulia lipite.Serikali ya teuwateuwa!
Mpaka anatoka kwa madaraka ye ni kutewa tu
Tulia dawa iingie tupo awamu ya sita. Sii mapya ayafanyayo hata awamu iliyopita waliyafanya acha kulalamika. Rais chapa kazi tena kwa kasi zaidi usiangalie sura wala atokako wala dini ya mtu tuletee wachapakazi.Anateua akiwa Malawi.Hapa hatuna Rais tuna mzurulaji.
Kikwete ndiye aliyetuharibia hii Nchi.
Aisee Mungu atusaidie,aingilie kati tuNdio zamu yetu wazanzibari. Kama inawakera lianzisheni kama TALIBAN.
Na kama hamjui mama ana watoto wanne ila ana wake wenzie watatu na watoto wote lazima awape vitengo.
View attachment 1895508