Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kazi ziendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alikuwa mnadhimu wa jeshi (second from CDF)Duu...luteni jenerali ndo ameshachomolewa jeshini hapo
Hiyo anuani ni ya Malawi Mkuu.Huyu mama hafanyi hyo kazi inafsnywa na katibu mkuu kiongozi yeye anasoma na kubariki tu
Hivi Dodoma ndo baasi tena...?!!!
Masilingi ameliwa kichwa
U CDF sio dini kuwa ohh mkristo au mwislamu Ni performance tena kwenye Vita sio kuwa desk officer ofisini!!!Hivi mara ya mwisho kuwa na CDF muislam ilikuwa lini...?
Samahani lakini, kwa nia njema kabisa
Wewe wasemaHayo majina ya kiislamu hapo ataambiwa mdini.
Bora aende huko tu, ukishaingia kule huwezi pata hiyo nafasi ya kuonesha professionalism!Mtu kama huyu hawezi kua katibu mkuu wizara ya fedha? performance yao inaonekana wapi? huko ubalozi anaenda kupiga picha tu.
That is a joke, right?😳😳😳Imebidi watengane na mumewe Hadi amalize urais maana serikali haiwezi kuwa na mtu leo analala ikulu kesho mkoa mjini kkutwa kichochoro kingine.
Wewe sasa ndio umeanzisha hiyo issue ya udiniHayo majina ya kiislamu hapo ataambiwa mdini.
Balozi Masilingi kama nakumbuka vizuri ni balozi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa mataifa, na sio balozi wetu nchini Marekani!Masilingi ametoka ama?
Yule ni MC sio prezAnateua akiwa Malawi.Hapa hatuna Rais tuna mzurulaji.
Kikwete ndiye aliyetuharibia hii Nchi.
Absolutely right!That is a joke, right?😳😳😳
Ahsante bwana YEHODAYA mchango mzuriU CDF sio dini kuwa ohh mkristo au mwislamu Ni performance tena kwenye Vita sio kuwa desk officer ofisini!!!
Kapigana Vita wapi ? Na akashinda Nk sio ohh Sasa zamu ya waislamu au wazanzibari jeshi sio kula urojo darajani kuwa wewe muuza urojo Mimi Sasa zamu yangu kuniwekea!!!
Dodoma ilikua mihemko ya mwendazake.Hivi Dodoma ndo baasi tena...?!!!
Wenye matokeo Kamili tafadhali naomba kujua mpaka sasa kati ya wa Ijumaa na wa Jumapili nani anaupiga mwingi Kiuteuzi katika Awamu hii ya Mama?
Subiri katiba ya Mbowe atakapotoka gerezani.Katiba mbovu!
Hivi mara ya mwisho kuwa na CDF muislam ilikuwa lini...?
Samahani lakini, kwa nia njema kabisa