Rais Samia Suluhu, ahsante kwa nilichokisia wakati wa uapisho wa viongozi

Rais Samia Suluhu, ahsante kwa nilichokisia wakati wa uapisho wa viongozi

Kinachonishangaza ni ushujaa wenu kumsikiliza. Binafsi nilishakata tamaa kusikia anasema nini. Ninachofahamu kila kitu anauliza aambiwe nini kifanyike. Huyo anayeulizwa ndo wale walioangusha nchi hii hadi wajinga wakawa maarufu. yaani JK!
mama punguza wivu na chuki zisizo na sababu kwa mwanamke mwenzako, zikizidi hizo utajikuta unapata hedhi mwaka mzima!!

hata hivyo hili jibu lako ni mfano kwa mtoa mada plae alipomwambia mama asiwe mstaarabu kwani hakuna wastaarabu tz..........akanyage, aende!
 
Maneno ya Gwajima Na polepole yanasababisha wananchi wasipate maji, umeme,barabara, yanasababisha ukosefu wa Ajira, wizi wa mali za Serikali n.k
Au kuna kingine kinachokwamisha maendeleo
 
Leo nimesikia maneno mazuri kutoka kwako ambayo nilihitaji kutasikia kwa muda mrefu sana, nakushukuru sana sasa naona umeamua kazi kazi

Tafadhali Rais wangu usicheke na kima hapa tutavuna mabua, kwakweli kwakweli niseme wazi upole wako unawafanya watu wakuone dhaifu na kukudharau.

Lakini kimsingi wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu lazima tukuheshimu hiyo ni lazima sio hiyari, hatutaki matabaka sisi ndani ya serikali yetu, kuna watu wanafikra za kijinga sana wakiamini wao hawawezi kuongozwa na mwanamke hawa watu ndio wa kudili nao sasa wakiongozwa na Askofu kibwetere anakudharau sana.

Kwakweli nilikua naumia sana kuona Rais anadharauliwa hadi na watu kama Polepole ambao hata uwepo wao bungeni ni kwa msaada wa Rais


Mheshimiwa Rais wakati wa ustaarabu sasa umepita maana sisi unaotuongoza hatujastaarabika

Fukuza wale wote wanaokukwamisha kwa dharau zao na sio kuwafukuza tu fukuza peleka na takukuru na uhamiaji wawachunguze kidogo

Hatuwezi kuwa na Taifa lisilo na nidhamu haiwezekani, mtu kama Gwajima anamtuhumu Rais kuhongwa ili alete chanjo na Rais unakaa kimya?

Naomba Mungu anipe japo moyo kama wa Samia maana Laiti kama mimi ndiye ningekua Rais sijui mpaka sasa Gwajima angekua na hali gani

Sipendi dharau,

Samia ndiye Rais basi anapaswa kuheshimika kama Rais na ieleweke hivyo,

Mheshimiwa Rais sisi tuko nyuma yako, kuwa mkali mama, wote unaoona hawaeleweki fukuzia mbali watutolee ujinga wao sisi

Kifuatachi sasa nikudili na nidhamu za watumishi nao wameshaanza dharau, kama hadi mkurugenzi anaiba mabati serikali gani hii sasa

Rais anaenda sherehe meimosi mwanza huku nyuma watu wanajilipa posho za kazi maalumu zisizo na mbele wala nyuma,

Rais Samia narudia tena sasa iwe mkali uwe mkali uwe mkali mara dufu
Sasa mei mosi na kulipa posho vinahusianaje?
 
Hao vidwagaa wasiasa tunataka wafurushwe manguli kama wa katiba na sheria,ardhi,fweza nk. 2025 pachimbwike
 
Wewe ni jinga nambari wahedi!

Usitukane machifu wetu. Machifu wetu wametambua uwezo wa rais Samia na kumfanya chifu mkuu. Wewe ni nani kupinga?

Mkuu wale machifu njaa hamna kitu pale[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Leo nimesikia maneno mazuri kutoka kwako ambayo nilihitaji kutasikia kwa muda mrefu sana, nakushukuru sana sasa naona umeamua kazi kazi

Tafadhali Rais wangu usicheke na kima hapa tutavuna mabua, kwakweli kwakweli niseme wazi upole wako unawafanya watu wakuone dhaifu na kukudharau.

Lakini kimsingi wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu lazima tukuheshimu hiyo ni lazima sio hiyari, hatutaki matabaka sisi ndani ya serikali yetu, kuna watu wanafikra za kijinga sana wakiamini wao hawawezi kuongozwa na mwanamke hawa watu ndio wa kudili nao sasa wakiongozwa na Askofu kibwetere anakudharau sana.

Kwakweli nilikua naumia sana kuona Rais anadharauliwa hadi na watu kama Polepole ambao hata uwepo wao bungeni ni kwa msaada wa Rais


Mheshimiwa Rais wakati wa ustaarabu sasa umepita maana sisi unaotuongoza hatujastaarabika

Fukuza wale wote wanaokukwamisha kwa dharau zao na sio kuwafukuza tu fukuza peleka na takukuru na uhamiaji wawachunguze kidogo

Hatuwezi kuwa na Taifa lisilo na nidhamu haiwezekani, mtu kama Gwajima anamtuhumu Rais kuhongwa ili alete chanjo na Rais unakaa kimya?

Naomba Mungu anipe japo moyo kama wa Samia maana Laiti kama mimi ndiye ningekua Rais sijui mpaka sasa Gwajima angekua na hali gani

Sipendi dharau,

Samia ndiye Rais basi anapaswa kuheshimika kama Rais na ieleweke hivyo,

Mheshimiwa Rais sisi tuko nyuma yako, kuwa mkali mama, wote unaoona hawaeleweki fukuzia mbali watutolee ujinga wao sisi

Kifuatachi sasa nikudili na nidhamu za watumishi nao wameshaanza dharau, kama hadi mkurugenzi anaiba mabati serikali gani hii sasa

Rais anaenda sherehe meimosi mwanza huku nyuma watu wanajilipa posho za kazi maalumu zisizo na mbele wala nyuma,

Rais Samia narudia tena sasa iwe mkali uwe mkali uwe mkali mara dufu
Exactly,watu wenye dharau kama Gwajima ni wakufutwa kabisa hili iwe fundisho kwa wapuuzi wengine, mama inatakiwa hawatumie wenye kazi zao kudili na watu wenye dharau kama gwajima na kundi lake wote
 
Kinachonishangaza ni ushujaa wenu kumsikiliza. Binafsi nilishakata tamaa kusikia anasema nini. Ninachofahamu kila kitu anauliza aambiwe nini kifanyike. Huyo anayeulizwa ndo wale walioangusha nchi hii hadi wajinga wakawa maarufu. yaani JK!
Mtu mwenye akili zako utapotezaje mda wako kumsikiliza muimba taarab wa kizanzibari?
 
Leo nimesikia maneno mazuri kutoka kwako ambayo nilihitaji kutasikia kwa muda mrefu sana, nakushukuru sana sasa naona umeamua kazi kazi

Tafadhali Rais wangu usicheke na kima hapa tutavuna mabua, kwakweli kwakweli niseme wazi upole wako unawafanya watu wakuone dhaifu na kukudharau.

Lakini kimsingi wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu lazima tukuheshimu hiyo ni lazima sio hiyari, hatutaki matabaka sisi ndani ya serikali yetu, kuna watu wanafikra za kijinga sana wakiamini wao hawawezi kuongozwa na mwanamke hawa watu ndio wa kudili nao sasa wakiongozwa na Askofu kibwetere anakudharau sana.

Kwakweli nilikua naumia sana kuona Rais anadharauliwa hadi na watu kama Polepole ambao hata uwepo wao bungeni ni kwa msaada wa Rais


Mheshimiwa Rais wakati wa ustaarabu sasa umepita maana sisi unaotuongoza hatujastaarabika

Fukuza wale wote wanaokukwamisha kwa dharau zao na sio kuwafukuza tu fukuza peleka na takukuru na uhamiaji wawachunguze kidogo

Hatuwezi kuwa na Taifa lisilo na nidhamu haiwezekani, mtu kama Gwajima anamtuhumu Rais kuhongwa ili alete chanjo na Rais unakaa kimya?

Naomba Mungu anipe japo moyo kama wa Samia maana Laiti kama mimi ndiye ningekua Rais sijui mpaka sasa Gwajima angekua na hali gani

Sipendi dharau,

Samia ndiye Rais basi anapaswa kuheshimika kama Rais na ieleweke hivyo,

Mheshimiwa Rais sisi tuko nyuma yako, kuwa mkali mama, wote unaoona hawaeleweki fukuzia mbali watutolee ujinga wao sisi

Kifuatachi sasa nikudili na nidhamu za watumishi nao wameshaanza dharau, kama hadi mkurugenzi anaiba mabati serikali gani hii sasa

Rais anaenda sherehe meimosi mwanza huku nyuma watu wanajilipa posho za kazi maalumu zisizo na mbele wala nyuma,

Rais Samia narudia tena sasa iwe mkali uwe mkali uwe mkali mara dufu
ww ndo upo nyuma yake
 
Leo nimesikia maneno mazuri kutoka kwako ambayo nilihitaji kutasikia kwa muda mrefu sana, nakushukuru sana sasa naona umeamua kazi kazi

Tafadhali Rais wangu usicheke na kima hapa tutavuna mabua, kwakweli kwakweli niseme wazi upole wako unawafanya watu wakuone dhaifu na kukudharau.

Lakini kimsingi wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu lazima tukuheshimu hiyo ni lazima sio hiyari, hatutaki matabaka sisi ndani ya serikali yetu, kuna watu wanafikra za kijinga sana wakiamini wao hawawezi kuongozwa na mwanamke hawa watu ndio wa kudili nao sasa wakiongozwa na Askofu kibwetere anakudharau sana.

Kwakweli nilikua naumia sana kuona Rais anadharauliwa hadi na watu kama Polepole ambao hata uwepo wao bungeni ni kwa msaada wa Rais


Mheshimiwa Rais wakati wa ustaarabu sasa umepita maana sisi unaotuongoza hatujastaarabika

Fukuza wale wote wanaokukwamisha kwa dharau zao na sio kuwafukuza tu fukuza peleka na takukuru na uhamiaji wawachunguze kidogo

Hatuwezi kuwa na Taifa lisilo na nidhamu haiwezekani, mtu kama Gwajima anamtuhumu Rais kuhongwa ili alete chanjo na Rais unakaa kimya?

Naomba Mungu anipe japo moyo kama wa Samia maana Laiti kama mimi ndiye ningekua Rais sijui mpaka sasa Gwajima angekua na hali gani

Sipendi dharau,

Samia ndiye Rais basi anapaswa kuheshimika kama Rais na ieleweke hivyo,

Mheshimiwa Rais sisi tuko nyuma yako, kuwa mkali mama, wote unaoona hawaeleweki fukuzia mbali watutolee ujinga wao sisi

Kifuatachi sasa nikudili na nidhamu za watumishi nao wameshaanza dharau, kama hadi mkurugenzi anaiba mabati serikali gani hii sasa

Rais anaenda sherehe meimosi mwanza huku nyuma watu wanajilipa posho za kazi maalumu zisizo na mbele wala nyuma,

Rais Samia narudia tena sasa iwe mkali uwe mkali uwe mkali mara dufu
Pole

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Leo nimesikia maneno mazuri kutoka kwako ambayo nilihitaji kutasikia kwa muda mrefu sana, nakushukuru sana sasa naona umeamua kazi kazi

Tafadhali Rais wangu usicheke na kima hapa tutavuna mabua, kwakweli kwakweli niseme wazi upole wako unawafanya watu wakuone dhaifu na kukudharau.

Lakini kimsingi wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu lazima tukuheshimu hiyo ni lazima sio hiyari, hatutaki matabaka sisi ndani ya serikali yetu, kuna watu wanafikra za kijinga sana wakiamini wao hawawezi kuongozwa na mwanamke hawa watu ndio wa kudili nao sasa wakiongozwa na Askofu kibwetere anakudharau sana.

Kwakweli nilikua naumia sana kuona Rais anadharauliwa hadi na watu kama Polepole ambao hata uwepo wao bungeni ni kwa msaada wa Rais.

Mheshimiwa Rais wakati wa ustaarabu sasa umepita maana sisi unaotuongoza hatujastaarabika

Fukuza wale wote wanaokukwamisha kwa dharau zao na sio kuwafukuza tu fukuza peleka na takukuru na uhamiaji wawachunguze kidogo

Hatuwezi kuwa na Taifa lisilo na nidhamu haiwezekani, mtu kama Gwajima anamtuhumu Rais kuhongwa ili alete chanjo na Rais unakaa kimya?

Naomba Mungu anipe japo moyo kama wa Samia maana Laiti kama mimi ndiye ningekua Rais sijui mpaka sasa Gwajima angekua na hali gani

Sipendi dharau,

Samia ndiye Rais basi anapaswa kuheshimika kama Rais na ieleweke hivyo,

Mheshimiwa Rais sisi tuko nyuma yako, kuwa mkali mama, wote unaoona hawaeleweki fukuzia mbali watutolee ujinga wao sisi

Kifuatachi sasa nikudili na nidhamu za watumishi nao wameshaanza dharau, kama hadi mkurugenzi anaiba mabati serikali gani hii sasa

Rais anaenda sherehe meimosi mwanza huku nyuma watu wanajilipa posho za kazi maalumu zisizo na mbele wala nyuma,

Rais Samia narudia tena sasa iwe mkali uwe mkali uwe mkali mara dufu
JPM hakuwa anasubiri ushauri kama wako. Alikuwa anachukua hatua hapo hapo. He was a real President. Sio hawa wa kutishiatishia!
 
Kinachonishangaza ni ushujaa wenu kumsikiliza. Binafsi nilishakata tamaa kusikia anasema nini. Ninachofahamu kila kitu anauliza aambiwe nini kifanyike. Huyo anayeulizwa ndo wale walioangusha nchi hii hadi wajinga wakawa maarufu. yaani JK!
Na vipi yile aliye geuza nchi ikawana na watekaji wauwaji na wanyang'anyi kama kina sabaya?

Mie naona bora ya mama huyu mara 100000000000000000000000000000000000. Kuliko bwana yule kwakweli
 
Back
Top Bottom