Rais Samia Suluhu, ahsante kwa nilichokisia wakati wa uapisho wa viongozi

Mama piga kazi acha kutisha raia wako,raia huwa hawatishwi hata siku moja.ukimtisha raia wako huwezi kuongoza Hilo taifa.Raia ndiyo wamekupa hayo mamlaka hivyo hupaswi kuwatisha.Mwendazake aliwatisha na kuwaogepesha raia wake kilichompata hata kisahau katika maisha yake.

Mama tunakuombea Sana Allah akupe hekima ,busara,maarifa na fikra pevu katika kuongoza Taifa letu.kesi ya mbowe Haina msingi wowote ifutwe.
 
Hakuna kitu ni mwendelezo wa maneno maneno tu, mbona Sirro aka Zirro hajamtoa kwa hiyo kalamu yake hadi leo maana kila anachomuagiza hatekelezi, anaishia kulalama tu
 
Bado bw lameki
Sent from ITunes Spark 7
 
Binafsi nimefarijika sana kumsikia Rais Samia akisema kwa kujiamini kabisa.
Kamwe asikubali kuyumbishwa na maneno ya walioshindwa kutimiza wajibu wao.
Nchi yetu inazidi ya watanzania milioni 60, tuna wataalamu kibao, wasomi wazuri na wazalendo wazuri, wakisumbua wewe tumbua tu.
tumbua sisi tupo na tuko tayari kufanya kazi hata kwa kujitolea ilimradi nchi yetu isonge mbele na wananchi wanufaike ktk utawala wako.
Mungu ambariki sana Rais
 
Rais hawezi fanikiwa kwa kumtakia mema kila siku. Anatakiwa ajitambue badala ya kuwategemea hawa akina Kiwete ambao kila mtu analaani tabia yao. Hao walifanikiwa kuwa viongozi kama laana kwa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…