Ahsante Mungu kwa kutuondolea mja wako ndugu Magu.
Mataga unateseka ukiwa wapi? [emoji3][emoji3][emoji3] Lile dikteta lenu is no more... Mama kashika usukani sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaandika huku roho inakuuma,mwenyekiti wa kamati ya fitna na roho mbayaChadema tangu lini wakajua kufuata sheria? Watafungiwa tu tena
Huyu mama hana roho mbaya Kama ya Jiwe.Ni smart na hataki ujinga.
naona nafuu ya nchi hii ni pale ambapo namba 1 akiwa muislamu kwa maelezo yakoRais SSH ni rais sahihi kabisa kwa nyakati hizi
Tulifunga mikanda na Nyerere, tukapewa ruksa ya kupumua na kulegeza mikanda Ali Mwinyi, tukabanwa kwa kujengewa mifumo ya mapato na Mkapa, Tukaichikulia nchi powa na kumwita mzee wetu JK dhaifu, Takanyooshwa na kunidhamishwa bila shurti JPM, Sasa SSH anasawazisha mambo
Ukiwa unajua mchezo wa siasa na unaijua historia ya utawala kwenye nchi hii utaelewa uongozi wa wakuu wetu wa nchi chini ya CCM kila wanapoachana madaraka
naona nafuu ya nchi hii ni pale ambapo namba 1 akiwa muislamu kwa maelezo yako
Bravo. We see some light at the end of the channel.Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari.
Rais Samia amesema haya...
Wizara ya habari, mnapaswa kusimamia vyombo vya habari, nasikia kuna vyombo vya habari mmevifungia, vifungulieni lakini vifuate sheria na kanuni. Tusiwape mdomo mdomo wa kusema tunabinya uhuru wa habari na nataka kanuni ziwe wazi. Tusifungie tu kibabe
Aisee tutamlazimisha Samia atawale miaka 20. Atake asitake tutamlazimisha.
Mwanahalisi, Mseto n.kTanzania Daima!
Angekuwa anaamini katika uhuru wa habari asngesema malalamiko ya waandishi ni "mdomo mdomo kwamba tunabinya."
Samia Hassan is a lightweight, kila anachoongea huwa kinaelea tu hewani, hakina sense. Amesema walofungiwa waachiwe lakini wafuate sheria. Nani alifungiwa bila kufuata sheria? Au sheria ndio zilikuwa mbovu, aseme!
Kama walionewa kwa nini unawaambia wafuate sheria?
Makosa na adhabu yaeleweke. Kwani jbo gani halieleweki kama ni kosa ama sio kosa, kwa mfano?
Haeleweki huyu Mama.
HujaelewekaHuyu sio jiwe.
Nyinyi mna akili ngumu sana eee?
Jamaa limeachwa kwene uteuzi limefura kama kifutu ndo maana linasema mama Kaharibu....!!!Lingekuwa limeteuliwa lingepongeza mwanzo mwisho....!!!!Pole sana, nadhani uko dunia yako. anaharibu vipi hapo kwa mfano?
Safi sana umeelezea vizuriAngekuwa anaamini katika uhuru wa habari asngesema malalamiko ya waandishi ni "mdomo mdomo kwamba tunabinya."
Samia Hassan is a lightweight, kila anachoongea huwa kinaelea tu hewani, hakina sense. Amesema walofungiwa waachiwe lakini wafuate sheria. Nani alifungiwa bila kufuata sheria? Au sheria ndio zilikuwa mbovu, aseme!
Kama walionewa kwa nini unawaambia wafuate sheria?
Makosa na adhabu yaeleweke. Kwani jbo gani halieleweki kama ni kosa ama sio kosa, kwa mfano?
Haeleweki huyu Mama.
Wewe ndo hujamwelewa....yawezekana una ubongo wa kuku(chicken brain)....!!!!Hujaeleweka
Hapo kwenye salamu pia kanifurahishaAmenifurahisha sana kuondoa salamu zile za dini
Tumsifu Yesu kristu
Asalaam aleykum
Bwana Yesu asifiwe
Binafsi nilikuwa nachukizwa sana
Mama kulifanikisha hilo angemfukuza Hassan Abbas pale wizara ya HabariRais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari.
Rais Samia amesema haya...
Wizara ya habari, mnapaswa kusimamia vyombo vya habari, nasikia kuna vyombo vya habari mmevifungia, vifungulieni lakini vifuate sheria na kanuni. Tusiwape mdomo mdomo wa kusema tunabinya uhuru wa habari na nataka kanuni ziwe wazi. Tusifungie tu kibabe
Ah! Unazambi weweAhsante Mungu kwa kutuondolea mja wako ndugu Magu.
Leo Marehemu atatingishika huko aliko na Ndugai hapati tena usingizi kwa kumsikia MTU anapimana ubavu na Jiwe.Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari.
Rais Samia amesema haya...
Wizara ya habari, mnapaswa kusimamia vyombo vya habari, nasikia kuna vyombo vya habari mmevifungia, vifungulieni lakini vifuate sheria na kanuni. Tusiwape mdomo mdomo wa kusema tunabinya uhuru wa habari na nataka kanuni ziwe wazi. Tusifungie tu kibabe