Libwanalenu meko lilikuwa linajenga au linaua nchi🐖🐖pori nyieHuyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Abbas yupi ana uwezo wa juu sana? Labda Abbas Swaiba wa Mtume.Tusifiche uozo,
Uwezo wa Abas ni wa kiwango cha juu sana. Tumwache afanye kazi zake za kitaalam. Ukijaribu kuvikurupukia baadhi ya vyombo vya Habari vya ovyoo nchi haitotawalika.
Najua tunapenda uhuru sana, Kumbuka uhuru ukizidi ni fedheha kwa Taifa utasababisha kila mtu kuwa na huru wake Mfano Mashoga wanataka uhuru wao Wauzaji wa Madawa ya kulevya wanataka uhuru wao, Wachumia tumbo/Matapeli wanataka uhuru wao n.k.
Unaandika hivi ukiwa Mirembe ama wapi ndugu!?Tusifiche uozo,
Uwezo wa Abas ni wa kiwango cha juu sana. Tumwache afanye kazi zake za kitaalam. Ukijaribu kuvikurupukia baadhi ya vyombo vya Habari vya ovyoo nchi haitotawalika.
Najua tunapenda uhuru sana, Kumbuka uhuru ukizidi ni fedheha kwa Taifa utasababisha kila mtu kuwa na huru wake Mfano Mashoga wanataka uhuru wao Wauzaji wa Madawa ya kulevya wanataka uhuru wao, Wachumia tumbo/Matapeli wanataka uhuru wao n.k.
Abbas ni mdigo alikuwa team Lindi kuchele!Huyu ni mwanachama wa Sukuma Gang, Hawa ni kikwazo kwa utawala wa mama
Dkt. Abbas umeona mpinzani gani, au mwanaharakati au nani aliyekuwa akitetea hao watu uliyowataja hapo kwa kisingizio cha "uhuru"Tusifiche uozo,
Uwezo wa Abas ni wa kiwango cha juu sana. Tumwache afanye kazi zake za kitaalam. Ukijaribu kuvikurupukia baadhi ya vyombo vya Habari vya ovyoo nchi haitotawalika.
Najua tunapenda uhuru sana, Kumbuka uhuru ukizidi ni fedheha kwa Taifa utasababisha kila mtu kuwa na huru wake Mfano Mashoga wanataka uhuru wao Wauzaji wa Madawa ya kulevya wanataka uhuru wao, Wachumia tumbo/Matapeli wanataka uhuru wao n.k.
Unamuuliza Chawa?Dkt. Abbas umeona mpinzani gani, au mwanaharakati au nani aliyekuwa akitetea hao watu uliyowataja hapo kwa kisingizio cha "uhuru"
according to you Dkt. Hassan Abbas uhuru ukiachiwa sana ni fedheha kwa taifa. Je vipi ukibanwa sana kuna faida gani kwa taifa Dkt???
What she means in a nutshell ni TUANZE UPYAAA. Anajaribu kuponya majeraha
Kwa jiwe Serikali ilikua mikonon mwa Nan?Wananchi ndiyo wenye serikali kwa hiyo mamlaka ya serikali inatoka kwa wananchi. Umenielewa au nirudie?
Unaogopa Nini kila Zama na kitabu chake.Tusifiche uozo,
Uwezo wa Abas ni wa kiwango cha juu sana. Tumwache afanye kazi zake za kitaalam. Ukijaribu kuvikurupukia baadhi ya vyombo vya Habari vya ovyoo nchi haitotawalika.
Najua tunapenda uhuru sana, Kumbuka uhuru ukizidi ni fedheha kwa Taifa utasababisha kila mtu kuwa na huru wake Mfano Mashoga wanataka uhuru wao Wauzaji wa Madawa ya kulevya wanataka uhuru wao, Wachumia tumbo/Matapeli wanataka uhuru wao n.k.
Kwenye hili la who is who kati vigogo hawa wa media, as far as media is concerned, Mkurugenzi ndio kila kitu, lakini kwa vile KM ndie alikuwa Mkurugenzi kabla, na Msigwa alikuwa chini yake, sasa Msigwa ndio ameteuliwa Msemaji Mkuu, hivyo Abbas kupunguziwa madaraka, ya usemaji Mkuu, then Msigwa chini ya Abbas will never be free kutimiza wajibu wake chini ya Big Brother Abbas or go against Big Bro!.Hassan Abbas sio mkurugenzi wa maelezo, hivyo hahusiki na kufungia au kuyafungulia magazeti, hiyo ni kazi ya Msigwa. Msigwa yafungulie magazeti, usimzingue mama maana atakuzingua
Huwezi amini jamani!Kwenye hili la who is who kati vigogo hawa wa media, as far as media is concerned, Mkurugenzi ndio kila kitu, lakini kwa vile KM ndie alikuwa Mkurugenzi kabla, na Msigwa alikuwa chini yake, sasa Msigwa ndio ameteuliwa Msemaji Mkuu, hivyo Abbas kupunguziwa madaraka, ya usemaji Mkuu, then Msigwa chini ya Abbas will never be free kutimiza wajibu wake chini ya Big Brother Abbas or go against Big Bro!...
kwahiyo unataka kusema P alikuwa amezimia tu, na sasa amezinduka, hatari kweli kweli!!Huwezi amini jamani!!!
Hatimae akili za 'P' wetu na Ufahamu wake umeanza kumrejelea
Kweli jaman kuzimia kupo huku duniani
Karibu mkuu P
Kuna vigazeti vya kipumbavu na kishenzi kama vile vya lile shoga Cyprian Musiba,kuviache vigazeti vile ndiyo weledi? Wasukuma wacheni noma zenu,tunajua mna movement yenu ya kumhujumu Mama.Tusifiche uozo,
Uwezo wa Abas ni wa kiwango cha juu sana. Tumwache afanye kazi zake za kitaalam. Ukijaribu kuvikurupukia baadhi ya vyombo vya Habari vya ovyoo nchi haitotawalika...
Hahahah! Labda nikuulize dhana ya uhuru ipoje?Tusifiche uozo,
Uwezo wa Abas ni wa kiwango cha juu sana. Tumwache afanye kazi zake za kitaalam. Ukijaribu kuvikurupukia baadhi ya vyombo vya Habari vya ovyoo nchi haitotawalika.
Najua tunapenda uhuru sana, Kumbuka uhuru ukizidi ni fedheha kwa Taifa utasababisha kila mtu kuwa na huru wake Mfano Mashoga wanataka uhuru wao Wauzaji wa Madawa ya kulevya wanataka uhuru wao, Wachumia tumbo/Matapeli wanataka uhuru wao n.k.
Kama sheria zilikuwa kandamizi na zilikuwa hazifuatwi basi hakukuwa na tatizo...Aaah wapi, unadhani hatujui sheria, yale masheria kandamizi unadhani hata huyo mama hayajui? Hakukuwa na sheria zozote zilikuwa zinafuatwa kipindi cha dhalimu
Abbas ndio mbwiga namba moja, amri ya Rais anapoipindisha na kutoa tafsiri zenu yatawakuta ya kuzinguanaPunguza jaziba we mbwiga. Chemical Ali ndiye kasema magazeti siyo vyombo vya habarI na hawatayafungulia labda SSH aseme vinginevyo