Magufuli's legacy still lingering in the mindsDuh BBC Swahili jioni hii kupitia mwandishi Egan Salah kasema Waziri Bashungwa kazifungulia TV zote za mitandaoni ila km kuna Magazetii nayo yafike Ofisini kwake wakaangalie ni makosa gani yaliyosababisha
Hapa wataleta Double standard na kuuzingua mhimili
Ngoja nimwite na cocochanel nisikie maoni yake maana wewe na yeye akili kama zipo sawa hivi.
Mjifunze kwa mwenzenu mama D anaye badilika kulingana na utawala
Sipendi upoteeUmetaka kunitaja tu.. tuliza boli.. furahia kuninukuu..
Sipendi upotee
Hivyo vijarida vya upinzani visifunguliwe vitaleta uchochezi. Chemical ali alivyomshauri mamaAbbas ndio mbwiga namba moja, amri ya Rais anapoipindisha na kutoa tafsiri zenu yatawakuta ya kuzinguana
Hotuba imesema vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe, sasa Abbas anachambua makosa na Boss wake au bado mna mfumo dume?
Samia: Kuna vyombo vya habari mlivifungia, vifungulieni
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa na kuagiza wahusika kutotumia ubabe kuvidhibiti.www.mwananchi.co.tz Wadau wa habari wamshukia Dk Abbas, wadai hakumuelewa Rais Samia
Wakati Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Hassan Abbas akidai Rais Samia Suluhu Hassan alivyotamka vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe hakumaanisha magazeti...www.mwananchi.co.tz
Deodatus Balile ambaye pia ni mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) ameandika, “Dk Hassan Abbas sijakusikia vizuri. Unasema Rais hakuagiza mfungulie Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima?”
“Isikilize tena hotuba ya mama au unataka kuwa wa kwanza kuzinguana, Asante sana Mheshimiwa Rais, Mama Samia kuagiza vyombo vya habari vifunguliwe.”
Katibu wa jukwaa hilo, Neville Meena amesema Dk Abbas bado ana hamu ya kuendelea kufungia magazeti kwa kutafsiri maelekezo ya Rais Samia.
“Eti amri yake inahusu kufunguliwa kwa online tv tu, ndugu yetu huyu hajifunzi,” amesisitiza Meena
Jamaa wanasahau Hutu ni SSHMagufuli's legacy still lingering in the minds
Hapa ATUMBULIWE mtu aliyepindisha Kauli ya Rais
Huyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Honeymoon is almost over, tayari ameshafungia raia mwemaNgoja tuone mwanzo huu utakavyoendelea.
Unyama wote umerejeaHoneymoon is almost over, tayari ameshafungia raia mwema
Inasikitisha sana. Gerson Msigwa bado anaishi enzi za mwendazake, yaani mawazo yake hayataki kukubaliana na ukweli kwamba kuna mabadiliko kiaina. Analifungia raia mwema kwa sababu za kubumba kabisa. Halafu hii sheria ya magazeti ni ya kipumbavu. Haitoi nafasi kwa chombo husika kujitetea kabla hawajafungiwa. Yaani chombo kinafungiwa kwanza ndipo kijitetee. Crap kabisa.Honeymoon is almost over, tayari ameshafungia raia mwema
Namshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya JMT kwa kufanyia kazi hili ombi. Mama na serikali yako, mbarikiwe sanaNampongeza Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa huo uamuzi mzuri.
Sasa Namwomba Mh. Rais aangalie pia issue ya "Local Channels" katika Ving'amuzi vyetu, nadhani hatukufanya Analysis stahiki ya faida na hasara ya "Local Channels" kuwepo kwenye Ving'amuzi kama dstv, Azam, startime, Zuku nk. Naomba uhitaji wa kupeana (kupata) taarifa kwa wananchi lipewe kipau mbele zaidi ya mambo ya kisheria
Mh Rais, naamini dstv, Azam, startime, Zuku nk. wakiambiwa waongeze kiasi himilivu cha kodi ili kurusha " Local Channel" hawatakataa. Kwavile Mama unawapenda raia wako basi namwomba uwaonee huruma kuepuka gharama za kuwa na Ving'amuzi zaidi ya kimoja ili kupata taarifa fulani.
Ahsante
Iko kisheria ama mwendelezo wa matamko na ubabe? Kwa nini ziliwekwa na zikatolewa? Ukipata jibu tushirikishane ndugu yanguNamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya JMT kwa kufanyia kazi hili ombi. Mama na serikali yako, mbarikiwe sana
Ahsante