Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habarini,
Kama katiba yetu inavyosema kuwa 'kila mtu anayo haki ya kutoa maoni yake kwa uhuru', Mimi pia nina maoni yangu. Pale posta kwenye mnara maarufu wa Askari ninashauri mnara wa Askari utolewe na uwekwe mnara wa Samia Suluhu (Rais wa Jamhuri ya Muungano).
Maana wengi hatujui maana halisi ya sanamu ile ya Askari. Au wauache ule mnara bali waweke na mnara mwingine wa Rais Samia Suluhu.
Utawala wa haki na uwajibikaji ndio sababu hasa inayonifanya nipendekeze jambo hili.
Kama katiba yetu inavyosema kuwa 'kila mtu anayo haki ya kutoa maoni yake kwa uhuru', Mimi pia nina maoni yangu. Pale posta kwenye mnara maarufu wa Askari ninashauri mnara wa Askari utolewe na uwekwe mnara wa Samia Suluhu (Rais wa Jamhuri ya Muungano).
Maana wengi hatujui maana halisi ya sanamu ile ya Askari. Au wauache ule mnara bali waweke na mnara mwingine wa Rais Samia Suluhu.
Utawala wa haki na uwajibikaji ndio sababu hasa inayonifanya nipendekeze jambo hili.