Rais Samia Suluhu alazimika kufuta post yake ya Twitter aliyotoa taarifa ya kuwasili Dar. Ni baada ya malalamiko kuhusu mabando kuzidi kwa wachangiaji

Rais kashindwa kusikiliza malalamiko ya watu?

Rais hapendi uwazi?
 
Mwenzie huyu hapa analialia.
Your browser is not able to display this video.


Sina shaka naye unga ukizidi maji atajitoa tu seems anapenda kupigiwa makofi tu.
 
Nashauri ati tweet mara chache sana panapo ulazima hii mambo ya kuwa informed point to point haina mantiki waendesha hio acc angalieni contents za kupost
 
Hakuna kiongozi yeyote Duniani anayeshinda mtandaoni aliyefanikiwa hakuna na aliyemshauri huyu mama kuwa mtu wa mitandaoni bhasi ajue soon kutaongozwa na mawazo ya wahuni wa Twitter naona anaenda kuungana na wakina Kigwangala
Walioitengeneza mitandao ni watu wenye akili nyingi sana na waliona mbali. Kwa rais kuandika kitu mtandaoni sio kosa kumbuka nae ni mtu wa karne ya sasa.
 
Hayuko pale kwa nia ya kumfurahisha kila mtu. Yupo pale kutimiza yale yaliyoandikwa ndani ya ilani ya kurasa 303.

Hakuna awezaye kupendwa na kila mtu. Yesu aliwalisha watu kwa kufanya miujiza lakini miongoni mwao ndio waliokuja kumuua msalabani.
 
Aachane na mitandao ya kijamii kama anataka kufanya kazi bila kufuata miluzi ya watu...
 
Walioitengeneza mitandao ni watu wenye akili nyingi sana na waliona mbali. Kwa rais kuandika kitu mtandaoni sio kosa kumbuka nae ni mtu wa karne ya sasa.
Kitu chochote chenye addiction kina madhara hata kiwe ni kizuri namna gani pia mitandao ya viongozi ni tofauti na ww ukiona kiongozi ameTweet bhasi kuna kitu anakizungumzia ambacho kinahusu nchi au jambo muhimu ndo maana account nying za viongozi ni verified sasa ukiona mtu anatweet kuwa "NIMEFIKA DAR " hili ni tatizo pia jua hakuna kiongozi yeyte anayeshinda mitandaoni aliyefanikiwa mfano Trump,Kigwangalla,Mwigulu. Hao ni wachache tu fanya kazi ionekane ndo tunachotaka si kupost kuwa nimefika au nimefanya hv
 
Kuna Rais aliyekuwa ana tweet mara kwa mara kumzidi Trump ?
 
Ni maamuzi yake kuandika akitakacho. Usimshushe mtu thamani kwa kitu kidogo sana.
 
Kama hawana bando waliwezaje kuona na kujibu twita yake!
Na wewe vp?kwani wanaolalamika hawana mabundle au lengo Bei zishuke?kwa maana ni kwamba bundle unaambia GB 2 ukisikiliza kawimbo kamoja tu Utube hapo hapo eti salio la bundle kimeisha kwa kweli ni mateso
 
Asipokuwa makini, na yeye atajikuta anachukiwa na wananchi walio wengi kama ilivyokua kwamtangulizi wake, aliyechagua kuwa mkaidi mwanzo mwisho.
Kwamba magu alichukiwa na wananch weng..mbona uongo ni mkubwa sana mjomba ..hiv unafaidika na nn...unalipwa au
 
Chuki kubwa ya rais aliopita ilitokana na ukandamizwaji wa democracy hzo zngne sub reasons to.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…