Rais Samia Suluhu alazimika kufuta post yake ya Twitter aliyotoa taarifa ya kuwasili Dar. Ni baada ya malalamiko kuhusu mabando kuzidi kwa wachangiaji

Rais Samia Suluhu alazimika kufuta post yake ya Twitter aliyotoa taarifa ya kuwasili Dar. Ni baada ya malalamiko kuhusu mabando kuzidi kwa wachangiaji

Hao ni 2% tu ya raia wote hapa nchini.

Hakuna mtu anapendwa na kuchukiwa na wote, hakuna duniani.

Kama unabisha nioneshe mmoja wapo?

Kwenye familia yako tu mitoto yako kuna baadhi haikuopendi sembuse nchi ya watu milioni 60?

Hata rais wangu Samia hawezi kuingia kwenye mtego wa kijinga kwamba eti atapendwa na kila mtu
Rais wako wewe ni Jiwe.
Acha usaliti.
 
Rais asikilize maoni ya umma na kuyafanyia kazi, Sio Kama yule mwingine aliyesema hapangiwi wakati aliomba kura.Rais ni mtumishi wa umma, anapaswa wajibika kwa umma
 
Hi
Makabwela ambao wametoa malalamiko lukuki ya malipo ya bando jipya wamemlazimisha Rais Samia Suluhu kufutilia mbali post yake ya Twitter aliyoitoa ambapo alitoa taarifa rasmi ya kuwasili Dar leo.

Hii inakuwa post yake ya kwanza kuifutilia mbali tangia awe Rais rasmi wa Jamhuri ya muungano ambapo wengi wa wachangiaji wake wamemuomba kutengua uteuzi wa waziri wa teknolojia ya habari ndugu Faustine Ndugulile na mkurugenzi mkuu wa TCRA kutokana na kutokuchukulia maanani uzito wa malalamiko yao kuhusu malipo ya bando la mitandao yote ya mawasiliano nchini.

Tusubiri tuone!
Hivi Twitter bado haipatikani bila VPN? Kama ndio, VPN si illegal nchini.
 
Check East Africa.
Inategemea na thamani ya fedha ya nchi husika usipotoshe
BalvejmumtView attachment 1744728View attachment 1744729View attachment 1744730
IMG_20210406_092218.jpg


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
DONALD
Hakuna kiongozi yeyote Duniani anayeshinda mtandaoni aliyefanikiwa hakuna na aliyemshauri huyu mama kuwa mtu wa mitandaoni bhasi ajue soon kutaongozwa na mawazo ya wahuni wa Twitter naona anaenda kuungana na wakina Kigwangala
Nadhani TRUMP alikuwani kiboko hadi tweeter wenyewe wakamfuta
 
Asipokuwa makini, na yeye atajikuta anachukiwa na wananchi walio wengi kama ilivyokua kwamtangulizi wake, aliyechagua kuwa mkaidi mwanzo mwisho.

Wananchi walio wengi ndo wakina Nani. Hawa wanaoandika uzi na kupigiana simu Waje wacomment. Mtu asiyependwa angeshasahaulika. Lakini Ona hata wewe huwezi comment bila kumtaja jembe. Hate love relationship. JPM amemaliza mwendo Wake bado wewe mnafiki.
 
Wananchi walio wengi ndo wakina Nani. Hawa wanaoandika uzi na kupigiana simu Waje wacomment. Mtu asiyependwa angeshasahaulika. Lakini Ona hata wewe huwezi comment bila kumtaja jembe. Hate love relationship. JPM amemaliza mwendo Wake bado wewe mnafiki.
Mwenyezi Mungu aniepushie mbali hii dhambi! Ila ukweli utaniweka huru! The former President was the worst! Nilimpinga alipokua hai, na nitampinga hata sasa akiwa marehemu.
 
Back
Top Bottom