johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Samia amesema siyo afya kwa bunge kuacha kujadili bajeti na kuanza kumlinganisha yeye na hayati Magufuli .
--+
Inasikitisha sana kuona wanapiga ngoma mitandaoni lakini ngoma ile inachezwa Bungeni na mnademka vizuri sana. Mnafanya kazi ya kulinganisha watu badala ya kulinganisha ajenda za Taifa, mnalinganisha Magufuli na Samia nawaambia Magufuli na Samia ni kitu kimoja.
Nimekuwa nikifuatilia mijadala yenu Bungeni, mijadala yenu haina afya kwa Taifa. Naomba tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi.
--+
Inasikitisha sana kuona wanapiga ngoma mitandaoni lakini ngoma ile inachezwa Bungeni na mnademka vizuri sana. Mnafanya kazi ya kulinganisha watu badala ya kulinganisha ajenda za Taifa, mnalinganisha Magufuli na Samia nawaambia Magufuli na Samia ni kitu kimoja.
Nimekuwa nikifuatilia mijadala yenu Bungeni, mijadala yenu haina afya kwa Taifa. Naomba tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi.