Anajirudi[emoji23][emoji23][emoji23].....mambo mengine bila technique kwishaJapo mama Kuna kipindi alikuwa kama anataka kuyumba naona wamemshika sikio kuwa hawezi kujitenga na JPM hata siku moja watu wanaona na kura za kanda ya ziwa zinaitajika sana mwaka 2025
Magu kaacha legacy mbaya kuliko wenzake wote waliomtangulia.Huu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja na itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa.
Sikiliza hiyo SexlessHuu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja na itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa.
Legacy haipiganiwiHuu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja na itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa.
Vp mmeshapasuliwa tayariZama za kusifu na kuabudu zimekwisha... Wale jamaa wa kijani bado hawaamini kuwa zama zimebadilika.
Wameambiwa wajadili bajeti. Sasa hapo alikuwa anajadili bajeti ya eneo gani?Huwa mnafikiria kwa kutumia nini?
Wale ndo walikuwa wanawapinga wenzao kuwa wanafiki.....Kibajaji alisema wanaomponda Magufuli watamponda pia Samia.....hawakujipendekeza
Hakuna siku mama amewahi kuyumba. Mbona yuko consistent na kaulo zake. Toka mwanzo siku anaapishwa alisema yeye amekuja kuendeleza ya MagufuliJapo mama Kuna kipindi alikuwa kama anataka kuyumba naona wamemshika sikio kuwa hawezi kujitenga na JPM hata siku moja watu wanaona na kura za kanda ya ziwa zinaitajika sana mwaka 2025
Hakuna wajinga kama hawa, ni Mambo hovyo na hawajifunzi hivi kwanini watu wasianzishe chama makini Cha upinzaniKivipi sasa...hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini?
We jamaa unazingua katika kila uzi we comment yako ni hii tuHata Lisu alipoambiwa ukweli kwamba anasaliti nchi kwa kututisha tutashitakiwa MIGA alichukia sana.
Haha [emoji38][emoji23]Rais Samia amesema siyo afya kwa bunge kuacha kujadili bajeti na kuanza kumlinganisha yeye na hayati Magufuli .
Rais Samia amesema yeye na Hayati Magufuli ni kitu kimoja.
Amesema, huwa unaangalia TBC?Wewe ni Msemaji rasmi wa Rais Samia? Mbona hujaweka uthibitisho wowote? Kirahisi tu unataka wote tukuamini?
Kiongozi ukiona Mwalimu wako watu wanamkashifu na kumbeza na ww ukawa kimya ina maana unakubaliana nao au huna ya kusema (No Comment) toka JON amezikwa amebezwa sana .wanasema kitu kama hukipendi kuna njia 3 za kufanyaHakuna siku mama amewahi kuyumba. Mbona yuko consistent na kaulo zake. Toka mwanzo siku anaapishwa alisema yeye amekuja kuendeleza ya Magufuli
Haya mengine ni watu ndo wanamuwekea maneno ambayo yeye hajawahi kutamka kwamba yuko against JPM
Dah! Hapo amenikamata. Kiufupi huwa siangalii.Amesema, huwa unaangalia TBC?
Swadakta!Hapo simply wabunge wameambiwa waache mipasho, yaani Rais haupendi utoto wanaofanya wakiwa bungeni, au zaidi ni kwamba Rais hataki mbunge yeyote awaye ajipendekeze kwake, yeye anataka wafanye kilichowapeleka bungeni na hili agizo linamhusu mpaka Spika na Naibu wake.
Legacy inatafutwa na kulindwa ndo maana mtu anapoona unataka kuharibu image yake kwa jamii lazima mtagombanaLegacy haipiganiwi
Basi leo amesema akiwa live TBC.Dah! Hapo amenikamata. Kiufupi huwa siangalii.