Rais Samia Suluhu alitaka Bunge kujadili Bajeti badala ya kumfananisha yeye na Hayati Magufuli

Rais Samia Suluhu alitaka Bunge kujadili Bajeti badala ya kumfananisha yeye na Hayati Magufuli

Huu ujumbe ni mahsusi kwa Spika Ndungai kwani ni yeye anayelea hii mijadala ya kihuni. Anawapa muda wa nyongeza wale darasa la saba wake aliowaanda kuporomosha matusi huku wengine wakiruka ruka kushangilia huku wanakata viuno kama wacheza kigodoro vile. Aibu kubwa sana hii. Asante Mh. Rais kwa kukemea huu ujinga unaoendelea huko Bungeni.
[emoji120][emoji120] umenena vyema mkuu.
Ndugai ni janga kabisa. Anaendekeza siasa za kibabe na kishamba. Ni aibu kabisa!
 
HAKUNA KITU KILINISIKITISHA KAMA KUONA NAMNA VILE VYOMBO VYA JIKONI VILIVYOPASUKA WAKATI MELI YA TITANIC INAZAMA

Waache kukata mauno ndio washaambiwa wajadili vitu vyenye hoja kwa taifa
 
Chagga Gang mmebaki mitandaoni tu haya endeleeni tu kuwa mashabiki na wakimbizi wa kisiasa japo siasa hamfanyi.

Yaani sasa hivi kazi mnayo, kila huyo mama akiongea inabidi mlazimishe kuchomeka mambo ya yule dhalimu ili ionekane udhalimu ni sehemu ya urais. Mama kagoma kufuata udhalimu.
 
Hawa unaowataja ndio walizungumza la maana tofauti na kundi la Spika Ndugai na wengine....Yaani Spika Ndugai anatamka bungeni kuwa eti JPM alishauriwa vibaya kuhusu bandari ya Bagamoyo...hata arobaini haijafika Spika anasema hivyo? Kwa hiyo Musukuma, kibajaj na Jah people kauli yao ni ya Watanzania wengi...
Unatetea wajinga wenzio tu!

Mtu anayejitambua hawezi kuona mchango wa maana bungeni kutoka kwa hao wabunge uliowataja.

Wabunge wa L7 wanaotoa mchango ya maana ni Kishimba, Njalu na yule wa Mbogwe.
 
Unatetea wajinga wenzio tu!

Mtu anayejitambua hawezi kuona mchango wa maana bungeni kutoka kwa hao wabunge uliowataja.

Wabunge wa L7 wanaotoa mchango ya maana ni Kishimba, Njalu na yule wa Mbogwe.
Malezi yako yalikuwa na walakini...kawaambie hivyo baba na mama yako mzazi aliyekuzaa na kukulea
 
Kwani kusema hivyo ni kosa au kuna kanuni inayo taka mhalifu asisemwe kabla ya arobaini?
Kamuulize hivyo baba yako aliyekuzaa na pia mama yako aliyekuzaa...unaweza kupata majibu kutoka kwao
 
Spika jitathimini...unalipeleka bunge wapi??

Aisee kama hujui position yako tayari imekuwa quarried na Rais wa nchi.

kazi unayo!!
Na waziri Mkuu pia ajitathimini!

Aliyakiwa kuwafunda wabunge wake kwenye party caucus. Hajafanya hivyo.
 
Ngoma inapigwa mtandaoni wao wanademka Dodoma hadi wanasahau kama kuna Bajeti
 
Ujumbe wa moja kwa moja kwa wanaccm wawakilishi wa wananchi ni kuwa acheni kujibizana mkilinganisha raisi wa ccm aliyepita na raisi wa ccm wa sasa.

Upinzani wa huko mitandaoni nao wamekumbushwa acheni kumshabikia raisi wa sasa kutoka ccm kwa kumponda raisi wa ccm aliyepita.

Upinzani jengeni chama, Ccm imarisheni chama.
 
Ujumbe wa moja kwa moja kwa wanaccm wawakilishi wa wananchi ni kuwa acheni kujibizana mkilinganisha raisi wa ccm aliyepita na raisi wa ccm wa sasa.

Upinzani nao wamekumbushwa acheni kumshabikia raisi wa sasa kutoka ccm kwa kumponda raisi wa ccm aliyepita.

Upinzani jengeni chama, Ccm imarisheni chama.
😍😍
 
Naam!
Ujumbe wa moja kwa moja kwa wanaccm wawakilishi wa wananchi ni kuwa acheni kujibizana mkilinganisha raisi wa ccm aliyepita na raisi wa ccm wa sasa.

Upinzani wa huko mitandaoni nao wamekumbushwa acheni kumshabikia raisi wa sasa kutoka ccm kwa kumponda raisi wa ccm aliyepita.

Upinzani jengeni chama, Ccm imarisheni chama.
 
Kwa kifupi Rais sio mtu wa maneno mengi ila anawazoom na kufanya yanayostahili.

Kazi iendelee.
 
Malezi yako yalikuwa na walakini...kawaambie hivyo baba na mama yako mzazi aliyekuzaa na kukulea
Bora mimi niliyepata malezi kutoka kwa baba na mama.

Wewe utakuwa chokora uliyezaliwa na kukulia mitaani. Huna maadili yoyote kama walivyo hao kina Lusinde unaowahusudu.
 
Bora mimi niliyepata malezi kutoka kwa baba na mama.
Wewe utakuwa chokora uliyezaliwa na kukulia mitaani. Huna maadili yoyote kama walivyo hao kina Lusinde unaowahusudu.
Hujapata malezi hayo kutoka kwa wazazi wako...hata hao chokoraa ni binadamu Kama binadamu wengine...ni maisha tu na matatizo ya jamii ndiyo yamewafanya kuwa chokoraa...mtu making, aliyelelewa vizuri na mstaarabu na mwenye hekima na busara kamwe hawezi kuwacheka chokoraa...
 
Kwa rais huyu nazani tutakachovuna ni kiswahiri sanifu & misemo ya pwani baaasiiii lakini hamna kitu
 
Ukitaka kujua Power ya JPM, fanya jaribu moja tu, utapata jibu.
Jambo lenyewe ni hili:

Chukua picha ya JEMBE(JPM), halafu muweke mtu mwingine yeyote pembeni ya picha ya JPM.

Alika watu wapige kura kuchagua ama picha ya JPM au huyo mtu mwingine. Zoezi hilo lifanyike mchana kutwa. Kisha hesabia kura za kila mmoja. Hapo ndipo utajua JPM ni nani.
 
Back
Top Bottom