SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ndiyo maana Mungu aliingilia kati kuliponya Taifa letuTimu magufuli bwana wajinga sana mmechotwa kisaikolojiaa na mmechoteka.
Kibaya alicho fanya ambacho hadi sasa kunaliangamiza taifa ni kuwaaminisha wafuasi wake kuwa hakuna rais mwingine apaswaye kuabudiwa isipo kuwa MAGUFULI, hii ni legacy mbaya sana kwa taifa na ndiyo inayo litesa taifa kwa sasa kwani watu waliwekeza kwa mtu na sio taifa.