Rais Samia Suluhu alitaka Bunge kujadili Bajeti badala ya kumfananisha yeye na Hayati Magufuli

Rais Samia Suluhu alitaka Bunge kujadili Bajeti badala ya kumfananisha yeye na Hayati Magufuli

Timu magufuli bwana wajinga sana mmechotwa kisaikolojiaa na mmechoteka.

Kibaya alicho fanya ambacho hadi sasa kunaliangamiza taifa ni kuwaaminisha wafuasi wake kuwa hakuna rais mwingine apaswaye kuabudiwa isipo kuwa MAGUFULI, hii ni legacy mbaya sana kwa taifa na ndiyo inayo litesa taifa kwa sasa kwani watu waliwekeza kwa mtu na sio taifa.
Ndiyo maana Mungu aliingilia kati kuliponya Taifa letu
 
Kibajaji, Jah people na Msukuma waipate hii
Hawa unaowataja ndio walizungumza la maana tofauti na kundi la Spika Ndugai na wengine....Yaani Spika Ndugai anatamka bungeni kuwa eti JPM alishauriwa vibaya kuhusu bandari ya Bagamoyo...hata arobaini haijafika Spika anasema hivyo? Kwa hiyo Musukuma, kibajaj na Jah people kauli yao ni ya Watanzania wengi...
 
Huu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja, itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo. Nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa Samia amejua kuwa wahuni wa mitandaoni watampoteza na si wapiga kura , wapinga kura wametulia wana mzoom tu.

..ina maana Rais Samia hataki kuwa na legacy, au hatakuwa na legacy?
 
Yaani CCM waliobaki hapo bungeni kazi yao imebaki MIPASHO TU na masengenyo ya kijinga

Kumbe Upinzani ulikuwa unaleta afya na mantiki bungeni

Wamebaki vilaza tu
 
Huu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja, itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo. Nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa Samia amejua kuwa wahuni wa mitandaoni watampoteza na si wapiga kura , wapinga kura wametulia wana mzoom tu.
Na anajua pia kwamba wanamtandao wanaongoza bunge! Hakuna cha budget kule, wanachungulia madini tu humu, wanaenda kubishana huko!
 
"Yeye na Magufuli ni kitu kimoja"

Hii kauli ni ya kufungia mjadala Ila ukweli halisi anao yeye Mama.
Machadema yanajibebisha kwa mama sijui kwa faida gani?

Subirini 2025 mtagongwa mavichwa hayo msiamini kama ndio yeye
 
Speaker aongoze bunge kwa busara. Na saiv bunge ni kijani tupu hakuna wa kumsingizia uchawi
 
Hawa unaowataja ndio walizungumza la maana tofauti na kundi la Spika Ndugai na wengine....Yaani Spika Ndugai anatamka bungeni kuwa eti JPM alishauriwa vibaya kuhusu bandari ya Bagamoyo...hata arobaini haijafika Spika anasema hivyo? Kwa hiyo Musukuma, kibajaj na Jah people kauli yao ni ya Watanzania wengi...
Kwani kusema hivyo ni kosa au kuna kanuni inayo taka mhalifu asisemwe kabla ya arobaini?
 
Zimeingia zama za blue na red?

[emoji441]Ccm ni ile ile..[emoji447][emoji448].[emoji446] ooh ni ile ile[emoji443][emoji444][emoji444][emoji343][emoji397]
Zama za kusifu na kuabudu zimekwisha... Wale jamaa wa kijani bado hawaamini kuwa zama zimebadilika.
 
Spika jitathimini...unalipeleka bunge wapi??

Aisee kama hujui position yako tayari imekuwa quarried na Rais wa nchi.

kazi unayo!!
 
Japo mama Kuna kipindi alikuwa kama anataka kuyumba naona wamemshika sikio kuwa hawezi kujitenga na JPM hata siku moja watu wanaona na kura za kanda ya ziwa zinaitajika sana mwaka 2025
CCM tangu lini inategemea kura za wapiga kura? CCM inacheza na tume ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom