Braza RitzAcha upuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Braza RitzAcha upuuzi.
Nina imani nae atatupandisha soonAsitusahau na wa 2016
Kule nafasi kachukua mdogo wake.Msigwa anaedit CV yake
Au anarejea kuwa reporter wa TBC kule Ruvuma
Kesho anatumbuliwaHuyo Gerson msigwa ni kama hajui hatma yake ya kazi, kwahiyo anafanya kazi kwa kuvizia vizia[emoji91][emoji91][emoji91]
ngoja uchunguzi ufanyike ,tuone matokeo,halafu tutajua ni kipindi kipi Yule bwana,alianza kufilisi shamba,la bwana shamba bora.ninawasiwasi huenda kipindi Cha miez 3 iliyopita.PM alifanya lilikokuwa kwenye uwezo wake na alisema ambao wako juu ya uwezo wake anamwachia rais...PM asingeweza kumtumbua DG wa TPA wakati hajamteua yeye.
NASUBIRI JIBU.Hivi kama alivyosimamishwa mkurugenzi wa TPA je ataendelea kupokea mshahara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama amesimamishwa maana yake uchunguzi unafanyika, hapo anawekwa nje ya payroll mpaka uchunguzi uishe, akithibitika hana kosa baada ya kuhukumiwa na kamati ya nidhamu atajaza form ya madai kudai mishahara yake ya miezi yote ya uchunguziHivi kama alivyosimamishwa mkurugenzi wa TPA je ataendelea kupokea mshahara?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3]Kwa sifa anazopewa shujaa wetu wa Afrika ninashangaa kwanini hakuona huo uozo mapema!!
Amekuwa Mkurugenzi pale kijiweni Habari na Maelezo,😃😃..Kwa ngazi aliyofikia anaweza kuteuliwa kuwa balozi.
..Watangulizi ktk nafasi hiyo walipelekwa ubalozini au ukurugenzi ktk taasisi za serikali.
Nani Huyo!!?Kuna mtu tunahitaji kumfundisha adabu kabla ya April 26...ujinga aliofanya tar 13 usiku kuamkia 14 hauvumiliki..
Je unamaanisha E.kwandikwa aliekua Waziri wa ulinzi!!?Kuna mtu tunahitaji kumfundisha adabu kabla ya April 26...ujinga aliofanya tar 13 usiku kuamkia 14 hauvumiliki..