residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Anajua basi hata maana ya "land locked countries" huyo sukule!!??huna akili we kiazi cha kutupwa!! unafananisha land locked countries na nyie mnaoshusha mafuta kutoka kwenye meli moja kwa moja.....
Kilaza umerudi.Ubora upi hapo?
Mmeposha sana humu jf, am back
Nchi zote hizo hazina badari.
Hujaweka Kenya na Msumbiji nchi zenye bandari, hujaweka hata DRC.
Kapunguza zipi? Wakati ilitoka 100 akapiga keleleNinamtetea mama kwa lugha hii; mzigo wa mafuta ni hizo tozo za serikali. Jiwe alirithi na kuongeza tozo zaidi katika miaka yake yote 5+ bila kupunguza hata moja.
Lakini mama amepunguza na anaendelea na jitihada za kupunguza au kuziondoa. Hivyo basi sioni sababu ya mama kupigiwa kelele juu ya bei ya mafuta. Hili ni tatizo lililotoka mbali. Jiwe aliondoa road license na kuhamishia ktk mafuta, tulifurahi sana kwakuwa magari ya wengi yalikuwa na vimeo. Kumbe tulikuwa tunahamisha tatizo tunalo lalamika sasa.
===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,
View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?
Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041
===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,
Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,
CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===
View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,
Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,
===
View attachment 2215059
===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu
===
View attachment 2215063
===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,
Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,
Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,
Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,
Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,
Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,
Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,
Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,
Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,
Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Mkuu hiyo analysis haiko sawa Sana..👇===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,
View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?
Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041
===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,
Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,
CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===
View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,
Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,
===
View attachment 2215059
===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu
===
View attachment 2215063
===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,
Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,
Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,
Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,
Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,
Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,
Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,
Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,
Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,
Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Hili ndio jibu hayo mengine ni porojo.Au utakuwa mmoja wa wanaolamba asali
Nilichokiandika ndio hiki hiki,
Watu kama ninyi hata mkitwangwa kwenye kinu upunguani hauwezi kutoka kichwani.===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,
View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?
Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041
===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,
Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,
CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===
View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,
Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,
===
View attachment 2215059
===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu
===
View attachment 2215063
===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,
Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,
Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,
Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,
Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,
Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,
Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,
Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,
Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,
Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
Mama anaupiga mwingi===
Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana,
View attachment 2215033
===
Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya mafuta Burundi iko juu kwanini tumlalamikie Rais wetu kwa tatizo la kidunia?
Mpaka tarehe 02|05| 2022 Warundi walinunua mafuta kwa wastani wa bei ya US$ 1.353 sawa na TZS 3.112
===
View attachment 2215041
===
Sote tunafahamu, Rais Samia sio rais wa Rwanda lakini Wastani wa bei za mafuta nchini Rwanda ni US$ 1.332 sawa na TZS 3.064 kwa lita,
===
View attachment 2215042
==!
Hapa kwa Mzee wetu Hechelema rol modal wa ndugu zetu wa CHADEMA nako mambo sio shwari kama mnavyoona kwenye taarifa,
Wastani wa bei za mafuta Zambia ni US$ 1.555 sawa na TZS 3,577,
CHADEMA mnasemaja kuhusu jamaa yenu kushindwa kudhiniti bei ya mafuta au na yeye hafai?
===
View attachment 2215043
===
Uganda nako bei ni juu tu, Wanaomlalamikia Rais Samia kuhusu bei ya mafuta wajitafakari upya,
Bei ya Mafuta nchini Uganda ni US$ 1.480 sawa na TZS 3,404,
===
View attachment 2215059
===
MALAWI, bei ya mafuta ni US$ 1.694 sawa na TZS 3,900 sijui ingekuwa hivi kwa Tanzania kelele zingekuwa za kiwango gani,Mungu atupe Uzalendo kwa viongozi wetu
===
View attachment 2215063
===
Bei ya mafuta Tanzania kwa Mama Samia Suluhu Hassan ni US$ 1.354 sawa na TZS 3,100,
Watanzania kuweni makini sana na watu wasiolitakia mema Taifa hili,
Wanawapotosha kwa lengo la kutengeneza chuki baina yenu na Rais wetu anayetupenda pengine kuliko Rais yeyote tangu Uhuru wa Taifa hili,
Lazima muelewe kupanda kwa bei ya mafuta si matokeo ya Rais Samia wa CCM,
Wala si ulegevu wa CHADEMA, na wala Sio uzembe wa ACT-Wazalendo au Zitto Kabwe,
Kupanda kwa bei za mafuta wala sio ujio wa Umoja Party au kuimarika kwa NCCR-Mageuzi ya Mzee wangu James Mbatia,
Kupanda kwa bei ya mafuta ni matokeo ya kinachoendelea nje ya Tanzania,
Si Rais Samia wala Rais Kagame wanaweza kutatua changamoto hii kwani hatuna visima vya mafuta,
Kama kuna wakati kwa Watanzania kushikamana basi ni Sasa,
Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa bidii atunusuru na haya yote,
HowSiyo chadema bana ni Sukuma gang
Wewe ujanja wako upo wapi?MaCCM MAJINGA SAN AISEE!!!
😍😍Mama anaupiga mwingi
Mambo gani ya nje?!Inasikitisha sana, Mama Samia afanye jambo kwenye hili na siyo kusingizia mambo ya nje...
Facttuko vizuri sana,
Kilio cha wengi harusi,
Mbona ZAMBIA chadema walisema bei ni ndogo jamani, kumbe wazushi tu
Kila Nchi ipambane na hali yake sisi tunasema wapunguze kodi kwenye mazutu ili angalao yashuke.
Tukikosa kodi nako Serikali haitaweza kujiendeshaKweli kabisa mkuu,,,wapunguzo makodi yao ili mafuta yashuke.
Sasaiv kila kitu ukigusa ni kodi,,