Rais Samia Suluhu anasimamia haki za wananchi

Rais Samia Suluhu anasimamia haki za wananchi

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046

Maneno ya Rais Samia Suluhu ili kuhakikisha haki inatendeka “Naomba mkae na wadau wengine mwangalie uwezekano wa kurekebisha sheria za kuweka mtu mahabusu. Kwenye nchi nyingine, mtu hakamatwi mpaka upelelezi umetimia".
 
Chawa mnaingia mpaka ndani ya ngozi sasa hivi kusaka asali.
 
Hakika niwazo zuri kivipi mtu awekwe mahabusu na hajakutwa na hatia?
Sure kuna watu wengi sana waliteseka mahabusu kwa kesi za kusingiziwa zisizokua na ushahidi lakini sasa Rais Samia Suluhu anasimamia haki watanzania
 
Sure kuna watu wengi sana waliteseka mahabusu kwa kesi za kusingiziwa zisizokua na ushahidi lakini sasa Rais Samia Suluhu anasimamia haki watanzania
Wange tupa na mda pia tujue linaanza kutekelezwa
linimkuu.

lakini pia Kuna hili la uzurulaji Lina haribu Maisha ya watu
watu Wana sombwa bila hatia

na mahabusu wengi Wana tokana na hili pia na kesi za ndoa
 
Wange tupa na mda pia tujue linaanza kutekelezwa
linimkuu.

lakini pia Kuna hili la uzurulaji Lina haribu Maisha ya watu
watu Wana sombwa bila hatia

na mahabusu wengi Wana tokana na hili pia na kesi za ndoa
Utekelezaji unaendelea siumeona ata wale waliobambikiwa kesi kipindi kile cha mwenda zake wameanza kuachiwa
 
Kilio gani tena mkuu maana tozo ni kwaajili ya maendeleo ya nchi yetu mimi na wewe
Kuna jamaa kapost chawa hapo juu nikajiuliza kaudhika na Nini juu ya post yako?
au labda Ana lingine nyuma ya pazia?

na Kama unavyo jua wa tz wengi wanaona wanaonewa juu ya tozo ndiyo maana Nika gusa moja kwa moja
 
Hakika nishawai kusema nimtu MJINGA PEKEE ndiyo Ana weza kuuchukia uongozi wa Samia

*Kwanza mzunguko wa pesa ulisimama

*Pili kulikuwa hakuna Uhuru wa habari

*Tatu biashara zilisimama kutokana na UHUSIANO mbaya na majirani zetu hivyo tulitegemea masoko ya ndani

*Nne amani ilikuwa ime potea kwani ilifikia kipindi polisi na raia haviivani hukupaswa kuikosoa serikali hofu Mama Shaka vilitawara

*Tano inchi iligawanyika japo haikuwa wazi kwa wenye ufahamu ndogo wenye ufahamu Moana waliliona Hilo ukabila,udini, viliinuka kwa kasi

*sita Tanzania ilipoteza mvuto kwa dunia tulichukuliwa Kama tunajitenga na dunia na dunia iliapa kutukomoa kitu ambacho kili athili Maisha ya watanzania wengi bilia wao kujua

Mkuu Sasa hivi niwewe tuu uwe bongo lala Maisha ya naenda nibora ninunue debe la mahindi 20000/=

Lakini kwa siku niingize hata alfu 10000/= lakini kipindi like mahindi alfu 5000/







Utekelezaji unaendelea siumeona ata wale waliobambikiwa kesi kipindi kile cha mwenda zake wameanza kuachiwa
 
Hakika nishawai kusema nimtu MJINGA PEKEE ndiyo Ana weza kuuchukia uongozi wa Samia

*Kwanza mzunguko wa pesa ulisimama

*Pili kulikuwa hakuna Uhuru wa habari

*Tatu biashara zilisimama kutokana na UHUSIANO mbaya na majirani zetu hivyo tulitegemea masoko ya ndani

*Nne amani ilikuwa ime potea kwani ilifikia kipindi polisi na raia haviivani hukupaswa kuikosoa serikali hofu Mama Shaka vilitawara

*Tano inchi iligawanyika japo haikuwa wazi kwa wenye ufahamu ndogo wenye ufahamu Moana waliliona Hilo ukabila,udini, viliinuka kwa kasi

*sita Tanzania ilipoteza mvuto kwa dunia tulichukuliwa Kama tunajitenga na dunia na dunia iliapa kutukomoa kitu ambacho kili athili Maisha ya watanzania wengi bilia wao kujua

Mkuu Sasa hivi niwewe tuu uwe bongo lala Maisha ya naenda nibora ninunue debe la mahindi 20000/=

Lakini kwa siku niingize hata alfu 10000/= lakini kipindi like mahindi alfu 5000/
Unaakili sana mzee kweli Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuibadili Tanzania diplomasia ilikua imepotea lakini sasa mama ameimarisha
 
Unapata haki ndani umeme huna, maji huna, chakula kama somalia alafu unaambiwa haki. Kuhusu haki amwachie Mungu tu, yeye wala huo uwezo hana maana kiukweli haki iko mbinguni.

Wala hatuwezi hata kumdai hizo haki, sie uswazi tunajua maisha yetu na namna ya kumalizana
 
Unapata haki ndani umeme huna, maji huna, chakula kama somalia alafu unaambiwa haki. Kuhusu haki amwachie Mungu tu, yeye wala huo uwezo hana maana kiukweli haki iko mbinguni.

Wala hatuwezi hata kumdai hizo haki, sie uswazi tunajua maisha yetu na namna ya kumalizana
Aliyepo mahabusu anafuraha gani na maji na umeme?.
 
Aliyepo mahabusu anafuraha gani na maji na umeme?.
Kamuulize babu Seya atakutajia wote waliohusika.

Alfu kwahiyo unamaanisha mnataka uraiani makabwela waishi kama walioko gerezani siyo ama mmeamua kufanya mizaha kwa wananchi? wapiga kura?
 
Back
Top Bottom