Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
January yupi tena

Kigogo yupi?




👇🏿👇🏿👇🏿

Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
Nakuona JanuaryMakamba kivingine,aka Kigogo@2014

Kumbe Januari ndiye Kigogo 2014! Ina maana alikuwa anapata hizi habari kutoka kwa SSH. Kweli dunia mduara.
 
Hakuna jipya hapo,yote hayo yalikua kwenye plan toka kuanza kwa mradi, kinachofanyika sasa ni utekelezaji tu wa yale yalipokua yamepangwa.
 
Safi Sana January Makamba
 
Hakuna jipya hapo,yote hayo yalikua kwenye plan toka kuanza kwa mradi, kinachofanyika sasa ni utekelezaji tu wa yale yalipokua yamepangwa.
Uko sawa, tumpongeze Rais Samia pia kwa kuendeleza hizo plan,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…