Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

You'r on politcal view, am on academic view, you'r right..naona ni timu ya kusifuna kuabudu
 
Imesalia miezi kumi ya mkataba?
December 2022 bwawa litakuwa tayari limemalizika kujengwa?
 
Rais ndio chief advisor wa gvnt budget

Rais ni taasisi don't take Samia as an entity,
 
Hata pale unapotaka kuwasaidia bado wanakuona haufai,
Mkuu endelea kutusaidia
 
NAONA KAMPENI ZIMEANZA MAPEMA TU.....

Ila 2025 siyo karibu wala mbali sana ...na pia ya Mungu ni mengi .....
 

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,


_________________
 
CCM na utapeli ni kama mgonjwa na uji. Mmesahau kwambwa mliahidi gesi ya mtwara ikifika dar es salaam tatizo la umeme litakua historia. Kweli mmeishiwa vijana wangu
Tunasubiri tarehe 15 nov 2021..waanze kujaza maji kwenye bwawa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…