Rais Samia Suluhu ashangaza wengi kasi ya Ukuaji Uchumi Tanzania

Samia na JPM walituambia tupo uchumi wa Kati .​

Leo anatuambia ukuaji wa Uchumi umefikia 5.2% kutoka 2.1%?​

Kwa maana nyingine wakati Akiwa makamu wa Rais uchumi wa Tanzania ulikuwa 2.1%?​


 
Tatizo lilikuwa Corona, Tatizo watanzania wanapenda udaku sana badala ya hoja,
Corona wakati mshahara kila mwezi ulilipwa na posho za kukutosha?
Miezi 8 tangu JPM afariki ametufikisha 5.2% ukuaji wa uchumi. Kwa kifupi Maza hajui hesabu
 
Asante mkuu Jf lazima tuheshimu kila mtu na tupishane kwa hoja tu kwani sote ni watanzania,

Ila Mama hajawahi kuniangusha mkuu wangu,

Hii nchi ilikuwa inaelelekea shimoni lazima tuwe wa kweli na Mungu atatubariki kwa ukweli wetu,
Wewe kakupiga cheo kumfagilia must
 
Huwezi amini mimi ni mkulima tu huku maporini hata Mungu anajua Mimi sina cheo chochote ila ni Mzalendo sana kwa Taifa na Rais wangu,

#Vijana tuweni Wazalendo kwa nchi yetu na Rais wetu,
Mkulima? Ukiona mkulima anamsifia Rais ujue hajui kusoma wala kuandika Mkuu. Sasa Wewe wapi na wapi?
 
Halafu mnasema waarabu wabaya ,Huyo Samia majuzi alitokea kwa wazee wake waliopo biladi Nezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…