Rais Samia Suluhu ataka nafasi 6,000 za walimu kujazwa

Rais Samia Suluhu ataka nafasi 6,000 za walimu kujazwa

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
Ni nafasi za zilizoachwa na Walimu waliostaafu,walioacha kazi Serikalini na waliofariki.

Rais Samia Suluhu amesema haya....

"Natambua kuna Walimu wengi tu karibu Elfu 6 au zaidi ambao wamestaafu, wamefariki n.k na kunahitajika wa kuziba nafasi hawa sio ajira mpya ni wa kuziba nafasi, Utumishi mko hapa na TAMISEMI mkalisimamie, Walimu Elfu 6 warudishwe haraka ili wakawatumikie Watanzania"

Samia.jpg
 
Back
Top Bottom