Rais Samia Suluhu ataka nafasi 6,000 za walimu kujazwa

Rais Samia Suluhu ataka nafasi 6,000 za walimu kujazwa

Habari njema walio jitolea wata kumbukwa kweli watu majina yalifika Hadi kwa mkurugenzi yalitoka tamisemi ikabaki ishu ya barua kurud shuleni ....bado walikuwa Wana jitolea mashuleni
Mushaanza ujinga wenu
 
Ukuta mererani lakini Bado madini yanapigwa.

Asante Magu kwa kutuchezea akili watz kwa KUTUAMINISHA kuwa madini yote yanadhibitiwa
 
Nami naomba wachukuliwe wale waliojitolea bana. Mtu unauzoefu wa kutosha na ni uzalendo wa kutosha?
Kabisa mkuu watu wamejitolea wange pewa kipaumbele kwa Sasa wameonesha uzalendo wa Hali ya juu
 
Back
Top Bottom