EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
yaani afya bhana mnaajiriwa kila mwaka lakini haviridhikiNa afya je??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani afya bhana mnaajiriwa kila mwaka lakini haviridhikiNa afya je??
Ni nafasi za zilizoachwa na Walimu waliostaafu,walioacha kazi Serikalini na waliofariki.
Rais Samia Suluhu amesema haya....
Natambua kuna Walimu wengi tu karibu Elfu 6 au zaidi ambao wamestaafu, wamefariki n.k na kunahitajika wa kuziba nafasi hawa sio ajira mpya ni wa kuziba nafasi, Utumishi mko hapa na TAMISEMI mkalisimamie, Walimu Elfu 6 warudishwe haraka ili wakawatumikie Watanzania
Yes ,huo ndiyo ukweli,We kweli shibobo "Kasema wale walioachishwa na waliostafishwa warudishwe kwenye ajira zao.
Kulikuwa na walimu 250,000 wamestaafu na kufariki 6,000 na kutengeneza mapengo 6,000. mapengo 6,000 yanatakiwa kuzibwa na kufanya 250,000- 6,000 + 6, 000 = 250,000.Ni mpya kwakuwa wanaojiriwa ni wapya
Sio mpya kwao serikali mimi endapo nikiajiriwa ni mpya kwangu.Kulikuwa na walimu 250,000 wamestaafu na kufariki 6,000 na kutengeneza mapengo 6,000. mapengo 6,000 yanatakiwa kuzibwa na kufanya 250,000- 6,000 + 6, 000 = 250,000.
Maana yake hakuna ajira iliyoongezeka.
Kwahiyo anaajiri tuliyo mtaani? Ama niniNi nafasi za zilizoachwa na Walimu waliostaafu,walioacha kazi Serikalini na waliofariki.
Rais Samia Suluhu amesema haya....
Natambua kuna Walimu wengi tu karibu Elfu 6 au zaidi ambao wamestaafu, wamefariki n.k na kunahitajika wa kuziba nafasi hawa sio ajira mpya ni wa kuziba nafasi, Utumishi mko hapa na TAMISEMI mkalisimamie, Walimu Elfu 6 warudishwe haraka ili wakawatumikie Watanzania
Kbsa simple logic sijui haelewe wapi huyu MtanganyikaEm soma tena ulichoandika alafu uone kama ww mwenyewe utajilewa.
Hao wa kureplace ni Hewa!?
Jiwe unashindwa akili hata na mwanamke.miaka mitano ajira 8000 mwenzako wiki mbili ajira 6000
Hahaahahahah Yani watu wa Kipunga Kila siku huwa hawakoseni.Sio mpya kwao serikali mimi endapo nikiajiriwa ni mpya kwangu.
Hapa mama alimaanisha kuna mapungufu ya nafasi elfu sita za walimu zinazotakiwa zijazwe. Hao watakaozijaza ni wale walio mtaani na wasio na ajira. Ila sio ajira mpya kwa kuwa haziendi kuongeza idadi ya walimu waliopo bali kuziba mapengo yaliyopo. Ajira mpya ni zile zinazoenda kuongeza idadi ya watumishi waliopo. Ila kwa atakaye ajiriwa, yeye kwake itakuwa ajira mpya.Kwahiyo anaajiri tuliyo mtaani? Ama nini
yaani afya bhana mnaajiriwa kila mwaka lakini haviridhiki
Hayo ni wewe na familia yakoSio mpya kwao serikali mimi endapo nikiajiriwa ni mpya kwangu.
Na familia yenu piaHayo ni wewe na familia yako
unasema kwako ni ajira mpya ulikuwa ukifanya kazi wapi kabla ya hii ajira unayoita mpyaNa familia yenu pia
Mmhhh, na waliofariki? Wewe hujaelewa nahisiWe kweli shibobo "Kasema wale walioachishwa na waliostafishwa warudishwe kwenye ajira zao.