Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Ajira mpya ina maana kama watumishi wapo 200,000 serikali inaamua kuajiri watu wengine 30,000 ili iwe na watumishi 230,000 hapo kuna ajira mpya 30,000
Sasa replacement(kuziba nafasi) ni kama mwisho wakuajiri serikali ilikuwa na watumishi 200,000 mwaka 2016 ila hadi 2021 wakafariki 30,000 ina maan serikali inakuwa na watumishi 170,000 sasa ikitaka kurudisha watumishiwafike tena 200,000 ndio inatangaza iyo replacement ya 30,000
Hii ni kujazia wale waliofariki.
Watumishi ni wapya ila ajira siyo mpya.
Sasa replacement(kuziba nafasi) ni kama mwisho wakuajiri serikali ilikuwa na watumishi 200,000 mwaka 2016 ila hadi 2021 wakafariki 30,000 ina maan serikali inakuwa na watumishi 170,000 sasa ikitaka kurudisha watumishiwafike tena 200,000 ndio inatangaza iyo replacement ya 30,000
Hii ni kujazia wale waliofariki.
Watumishi ni wapya ila ajira siyo mpya.