Rais Samia Suluhu ataka nafasi 6,000 za walimu kujazwa

Rais Samia Suluhu ataka nafasi 6,000 za walimu kujazwa

Leo rais Samia ametangaza serikali iajiri walimu 6000 ili kuziba mapengo ya wale waliostaafu, kuacha kazi na kufa, ni jambo zuri na heri kwa vijana wenye taaluma ya ualimu...
Acha kuleta umagufuli kwenye serikali ya mama Samia.

Wote wamesoma vyuo na wanavigezo.

Kama kigezo cha kuajiliwa ni kujitolea si wangesema Mtu akimaliza chuo lazima ajitolee.

Punguza umagufuli wako wewe
 
kwani replacement si ni ajira mpya inamaana vijana ambao hawajapa ajira watapata ajira so ni mpya kwa staili yake
Ndio ni ajira mpya kwa upande wa waajiriwa kwani watakaoajiriwa ni fresh from school lakini kwa upande wa serikali ni "replacement"- kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wastaafu, waliocha kazi ama fariki hivyo kuziba mapengo yaliyojitokeza.
 
Ajira mpya ina maana kama watumishi wapo 200,000 serikali inaamua kuajiri watu wengine 30,000 ili iwe na watumishi 230,000 hapo kuna ajira mpya 30,000...
Wewe ndo umeeka hili swala clear na umeeleweka vizuri sana kama kuna mtu hajakuelewa aende kwa mganga.

So kuna zile ajira mpya Elfu 5 ambazo zilibaki katika zile elfu 13 hizo ndo mpya ila hizi zilikuwa kwenye bajeti zile za Magu zilikuwa za kuombea kura.
 
Marehem alifukuza watu wenye vyeti vyeki 14 lakini no replacement sembuse huko kustaaf
Hao hawakulipwa stahiki zao za kuachishwa kazi ndio maana hakukuwa na replacement. Hawa wastaafu washapokea mafao.
 
[emoji848]
20210406_172337.jpg
 
Amesema si ajira Mpya, kwa Mfano kama walikua na mpango wa kuajiri waalimu 6000 kwa mwaka huu,maana yake ni kuwa hizi 6000 alizotangaza mama hazihusiani na hizo 6000 zilizopo kwenye mpango wao.

Kwa sisi wananchi sasa tutatangaziwa ajira 6000 na wataajiri watu 6000, ila bado serikali itatangaza ajira zingine kwa ajiri ya kukamilisha mpango wao,

Mama kaweka wazi pia ili isijeleta mkanganyiko pale kwenye zile ajira 13k za hayati Dr. Magufuli, so ule mpango wa mwendazake ukamilishwe tofauti kabisa na hizi za mama mzazi
 
Hapa mama alimaanisha kuna mapungufu ya nafasi elfu sita za walimu zinazotakiwa zijazwe. Hao watakaozijaza ni wale walio mtaani na wasio na ajira. Ila sio ajira mpya kwa kuwa haziendi kuongeza idadi ya walimu waliopo bali kuziba mapengo yaliyopo. Ajira mpya ni zile zinazoenda kuongeza idadi ya watumishi waliopo. Ila kwa atakaye ajiriwa, yeye kwake itakuwa ajira mpya.
🙏🙏🙏 Mkuu
 
Leo rais Samia ametangaza serikali iajiri walimu 6000 ili kuziba mapengo ya wale waliostaafu, kuacha kazi na kufa, ni jambo zuri na heri kwa vijana wenye taaluma ya ualimu...
Wewe si umejitolea? Tayari unapaha pa kazi acha tamaa.

Hakuna aliyelazimisha mkajitolee ni kiherehere chenu tu na kupenda kujifanya mnasaidia kumbe mnachora tu.

Hizi ni zama zingine.Ajira ni kwa wale wasiokuwa nazo.Wewe pamoja na aliyekushawishi ujitolee mlihesabu kuwa hiyo ni ajira ,endeleeni.Wanafiki nyie!
 
Wewe si umejitolea? Tayari unapaha pa kazi acha tamaa.
Hakuna aliyelazimisha mkajitolee ni kiherehere chenu tu na kupenda kujifanya mnasaidia kumbe mnachora tu.
Hizi ni zama zingine.Ajira ni kwa wale wasiokuwa nazo.Wewe pamoja na aliyekushawishi ujitolee mlihesabu kuwa hiyo ni ajira ,endeleeni.Wanafiki nyie!
Naweza kuwa baba kijana, heshima kidogo nimebakiza miaka kidogo nistaafu.
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Honorable Madame Samia Suluhu Hassan
I Love You!!!💋👄 Tufike Nchi ya Ahadi ya Asali na Maziwa.👪👣
 
Wewe si umejitolea? Tayari unapaha pa kazi acha tamaa.
Hakuna aliyelazimisha mkajitolee ni kiherehere chenu tu na kupenda kujifanya mnasaidia kumbe mnachora tu.
Hizi ni zama zingine.Ajira ni kwa wale wasiokuwa nazo.Wewe pamoja na aliyekushawishi ujitolee mlihesabu kuwa hiyo ni ajira ,endeleeni.Wanafiki nyie!
Hutoamin kijana yahn mlivyo wengi hafu walijitolea wasipewe priority haiwezekani.
 
Back
Top Bottom