MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Ni mpya kwakuwa wanaojiriwa ni wapyaSiyo ajira mpya..
Ni nafasi za zilizoachwa na Walimu waliostaafu.
Ni 6000Nimesikia 26 au masikio yangu yanamatege
We kweli shibobo "Kasema wale walioachishwa na waliostafishwa warudishwe kwenye ajira zao.Ni nafasi za zilizoachwa na Walimu waliostaafu.
Ndio inakuwajeHizo mama Kasema sio mpya ni replacement jamani
We kweli shibobo "Kasema wale walioachishwa na waliostafishwa warudishwe kwenye ajira zao.
Afya ni ile hali ya kuwa vizuri.Na afya je??
Sasa wanareplace waliostafu na walioachaHizo mama Kasema sio mpya ni replacement jamani
Sijui ni ujinga au makusudi, yeye mwenyewe kasema sio ajira mpyaHakuna wanaajiri upya .walistafu na kuacha kazi wanatangaza upya
Marehem alifukuza watu wenye vyeti vyeki 14 lakini no replacement sembuse huko kustaafNi mpya kwakuwa wanaojiriwa ni wapya
TengeNimesikia 26 au masikio yangu yanamatege
Waliostafu waliofariki, amesema n replacement ya watu hao, means sio mpya wanajaza hizo hizo waziWe kweli shibobo "Kasema wale walioachishwa na waliostafishwa warudishwe kwenye ajira zao.