Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Kwa hiyo jamaa yangu kaambulia kaUbunge tu!! Ama kweli dunia hii vagosha; yaani ka cheo wiki 3 tu hakapo iiiiiii
 
Wizara ya fedha inahitaji kuongozwa na a seasoned economist asiye na makando-kando ya ushabiki wa kisiasa kama mwigulu nchemba.

Waziri na naibu waziri wa fedha wa sasa, kwa maoni yangu hawatoshi.

I hope watakuwa chini ya uangalizi na usimamizi wa VP Dr.Mpango, vinginevyo tutayumba.
 
 
Nakupongeza Dr, L. M. Mchemba kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha.
Naamini elimu na weledi wako sasa utaulekeza katika fani ulio bobea.

Mungu akujalìe hekima na uadilifu wa maamuzi yako katika nafasi hiyo.
Hicho kigugumizi kiko wapi sasa! Mbona sikioni? Au umeshikwa na kigugumizi cha kutoamini kilicho tokea?
 
Mama kasema kumpa mchawi akulelee mtoto ndo huko Sasa..🤣🤣
 
yule dada wa znz aliyekuwa anakwama kuapa siku ile kaletwa sevlction ya wantotot

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mara ya 9+ leo unaandika kuchukizwa na uteuzi wa Mh. Mwigulu....hebu mpe nafasi kidogo tuone utendaji wake!
hafai mkuu niamini ndio mana jiwe alimuweka kando ili ajifunze ila ambition za mtu huwezi kuzizima sijui kaenda kuloga wapi ila atakwapua hela ajiandae na urais mi genge lake lote nalijua na watu wa usalama pia wanamjua vizuri kinachoniuma atamsumbua mama
 
Afadhali Bashiru kaondolewa ukatibu kiongozi. Asije akatuletea siasa zake hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…