Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mkuu maana hatuwezi jua yajayoLabda anaandaliwa post nyingine
Hapo sawa ,baraza lazima livunjwe ,watu walikuwa wanatetea uvunjwaji wa katiba waziwazi.
Ila nilivyomsikiliza na ninavyohisi ameona aibu kufanya mabadiliko makubwa na kuacha wengine (japo siyo dalili nzuri). Anaona kama akibadilisha na kuacha wengi ataeleweka vibaya. Akizoea hicho kiti anaweza kuja kufanya mabadiliko makubwa, may be. Ila kwa kumuweka Mwingulu fedha amechemka sana. Yule jamaa ni ''fix'' mmoja anayeishi kwa ujanja ujanja tu kama Kigwangala. sehmu ambayo amaepatia ni kumwondoa Kabudi wizara ya mambo ya nje. Na kwa Bashiru naona kuna kitu la sivyo asingebadilishwa ukitilia maanani kateuliwa juzi juzi tu.
Wapi nilipozungumzia miti shamba? Unaposema mtasubiri sana unawazungumzia kina nani?Kwani miti shamba siyo sayansi, mtasubiri sana chanjo
Hicho kigugumizi kiko wapi sasa! Mbona sikioni? Au umeshikwa na kigugumizi cha kutoamini kilicho tokea?Nakupongeza Dr, L. M. Mchemba kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha.
Naamini elimu na weledi wako sasa utaulekeza katika fani ulio bobea.
Mungu akujalìe hekima na uadilifu wa maamuzi yako katika nafasi hiyo.
Atakusaidia nini?Jamani mama tuwekee hata mchaga mmoja hapo wizara ya fedha
yule dada wa znz aliyekuwa anakwama kuapa siku ile kaletwa sevlction ya wantototofisi ya Jafo
Uwekezaji imerudi chini ya ofisi ya waziri mkuu
Ummy mwalimu-tamisemi
Wizara ya fedha -mwigulu nchemba
Sheria- kabudi paramagamba
Mambo ya nje- balozi mulamula
michezo -naibu (gekulu) ulega amerudi mifugo
Afya- naibu wa pili Mwanaidi ally hamisi
Bashiru-mbunge wa kuteuliwa
Zingine zimebaki kama zilivyo.
Wake zakeJafo Jafo
Nakumbuka alimgonga punda watu wakampa pole punda yeye wakamshushia spana kibaoMbona hamumpendi? Ana shida gani?
Hata sijamuelewa...ana andika kama vile anajiambia mwenyewe.
hafai mkuu niamini ndio mana jiwe alimuweka kando ili ajifunze ila ambition za mtu huwezi kuzizima sijui kaenda kuloga wapi ila atakwapua hela ajiandae na urais mi genge lake lote nalijua na watu wa usalama pia wanamjua vizuri kinachoniuma atamsumbua mamaMkuu mara ya 9+ leo unaandika kuchukizwa na uteuzi wa Mh. Mwigulu....hebu mpe nafasi kidogo tuone utendaji wake!
Nyie bado mna sherehe ya Kifo kunyweni kwanza bia za kutosha mtakumbukwa mkimrudia Mungu.Hakuna mchagga hata mmoja,tumewakosea nini jamani?
Akijichanganya tu katupwaMama kasema kumpa mchawi akulelee mtoto ndo huko Sasa..[emoji1787][emoji1787]
Afadhali Bashiru kaondolewa ukatibu kiongozi. Asije akatuletea siasa zake hapa.Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.
Rais Samia Suluhu akitangaza Baraza la Mawaziri amesema...
''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa, zege halilali''
Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.
MAJINA YA MAWAZIRI WANAOUNDA BARAZA LA MAWAZIRI
Ummy Mwalimu - Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI
Mohammed Mchengelwa - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Selemani Jafo - Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Geoffrey Mwambe - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji
Dkt. Mwigulu Nchemba - Waziri wa Fedha na Mipango
Profesa Palamagamba Kabudi - Waziri Wizara ya Katiba na Sheria
Balozi Liberata Mulamula - Waziri wa Mambo ya Nje
Prof Kitila Mkumbo - Waziri wa Viwanda na Biashara