Mama naye kumbe mtoto wa mjini. Huo ushungi usitudanganye. Safi sana [emoji122][emoji122][emoji122]
Hatari sana. Watz wakikuchukia hawakuambii wanaongea pembeniNakumbuka alimgonga punda watu wakampa pole punda yeye wakamshushia spana kibao
Hii hadithi ya kusema Mangula kalishwa sumu ni uongo mtupu. Bila shaka aliitunga marehemu.Influence ya Kikwete hiyo. Samia must be every careful how he handles Kikwete's advice!! Next atamshauri ambadilishe Mzee Mangulla kule ccm kama Makamu wa Mwenyekiti na huo ndio itakuwa mwanzo na mwisho wake; hakuna mtu anaimudu ccm kama yule mzee na akiondoka tu mtayumba!! Huyo mzee anafanya hayo majukumu kutokana na uzalendo wake basi. Sasa mafisadi wanaona anawawekea kiwingu na ndio maana wanamlisha hata sumu lakini Imani yake inamponya!!
Nimeshangaa sana Rais Samia katika hotuba yake ya kumpongeza Mpango hakutambua uwepo wa makamu wa Mwenyekiti wa ccm Mangulla ingawa alikuwepo!!!!
Mwigulu tatizo hakui. Wakati wote ni utoto utoto tu. Hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji. Ni mnafiki na mzandiki. Kwa ujumla hawezi kazi. yeye anaweza tu mipasho ya kisiasa.hafai mkuu niamini ndio mana jiwe alimuweka kando ili ajifunze ila ambition za mtu huwezi kuzizima sijui kaenda kuloga wapi ila atakwapua hela ajiandae na urais mi genge lake lote nalijua na watu wa usalama pia wanamjua vizuri kinachoniuma atamsumbua mama
Kuna vyeo vyengine ni kutafutiana kushikana mashati..🤣Akijichanganya tu katupwa
Lkn hizo salamu alizipata na kama ni muungwana lazima ajiulize kitu gani kinamfanya achukiwe na watanzaniaHatari sana. Watz wakikuchukia hawakuambii wanaongea pembeni
Hasa gang la koromitje ndiyo wamechanganyikiwa vibayaMakundi ya ccm hayamuelewi mama mpaka muda huu [emoji16][emoji16]
Umepotea wale ni chama kubwaPigo lingine kwa Sukuma Gang.
anatengeneza kundi lake taratiibu anawachia makundi yaoMakundi ya ccm hayamuelewi mama mpaka muda huu 😁😁
Wameanza kujikatia tamaaHasa gang la koromitje ndiyo wamechanganyikiwa vibaya
Huyo kalengeshwa tu akijichanganya tu kafutika kwenye uwanja wa siasaKuna vyeo vyengine ni kutafutiana kushikana mashati..[emoji1787]
Huyo atachakalia huko huko ......No wonder CHOZI lilimtililika sana. Simuoni akirudi hivi karibuni. Labda 2030....!!Bashite vipi bado tu mtoto wa mtaani
zege hailali.kaucheza mwingi mnoo hapo.miksonAliyempendekeza Mwigulu kuwa Waziri wa Fedha ni Makamu wa Rais Mh Mpango, hujamsikia Rais akisema kamchagua Mh Mpango ili amshauri vizuri kuhusiana na mambo ya kifedha? Kwa hiyo bila shaka Mh mpango ndie aliyempendekeza Mwigulu N.
Upo sawaMama mjanja sana kaamua amtoe kwa akili ili angalau apate kifuta jasho
Saana, tatizo kwenye sheria kuna mwanasheria Mkuu na Jaji mkuu,alafu majaji wengi wana akili kama mizimu...Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Sasa hivi mitandaoni wanatukana matusi tuWameanza kujikatia tamaa
Hapana! Anajitahidi kutengeneza kundi la watanzania walio wengianatengeneza kundi lake taratiibu anawachia makundi yao