Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Huo ushungi kajitundika juzi juzi tu kuna wadau wanasema mwenyewe kwenye hotuba flani alisema alipoanza siasa alikua anavaa suruali na kichwan mawigi ya kutosha. Wenyeji wakamwambia avae kama wazenji ili akubalike
Mama naye kumbe mtoto wa mjini. Huo ushungi usitudanganye. Safi sana [emoji122][emoji122][emoji122]