Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
umesahau enzi zake na maufisadi yaliyotokea??Acha wivu,chapa kazi hapo ulipo pesa zetu zipo katika mikono salama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umesahau enzi zake na maufisadi yaliyotokea??Acha wivu,chapa kazi hapo ulipo pesa zetu zipo katika mikono salama.
Tuongee taratibu maana lile genge la wahuni aliloacha malehemu linamuwinda huyu mzee wetuJamaa ni mjanja sana yaani na sasa ndiyo wakati wake maana kabakia yeye ambaye bado ni active kuliko mzee wetu wa kuuliza jina la mwanawe
Atamtoaje wakati ana msala?
Huyu mama ana akili sana yaani anataka adili nao wakiwa ndani
Huyo ni majanga matupu. Data zitapikwa zaukuaji wa uchumi mpk kupitiliza.Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...
Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....
Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶
Bashiru ukatibu mkuu kiongozi umeota nyasi tena kwenye hili mama kalikazia kabisa kuwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi kapewa balozi wetu wa japa
Patrobas katambi vipi? Yupo kwenye Baraza jipya?#HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. @SuluhuSamia amemteua @ummymwalimu kuwa Waziri wa TAMISEMI. https://t.co/GvkX7gAMvh
Kwani ukatibu Mkuu wa chama ndio basi? Kwani alikwisha kabidhi?Bashiru Ametunisha CV yake kwa muda mfupi! Senior Lecturer, mwenyekiti tume kuchunguza mali za chama, Katibu mkuu CCM, Balozi - Katibu Mkuu Kiongozi na Mheshimiwa mbunge! CV imesheheni kwa mda mfupi - watch him
Ile ni siasa na hakuna ukweli wowote. Ni nani alikamatwa hata kwa kuhisiwa? Magufuli alikuwa na imani za kichimvi sana. Hata yeye alikuwa anadai alilishwa sumu lakini hakuna ukweli wowote.Kwanini useme marehemu alitunga na huku madaktari walithibitisha? Kwasababu gani iliyomfanya mwendazake amtungie mzee Mangulla? Fafanua.
Usililojia ni usiku wa gizaBora Hayati angemuacha tu ukatibu mkuu.
team mpaka ipate fisadi ndo ipande daraja?Hapo nimekukubali sana kwa kuona mbali sana juu ya singida United kurudi premier league
Patrobas katambi vipi? Yupo kwenye Baraza jipya?kapona mkuu
Hakuna cha mzee wa msoga hapo.....maza anakwenda kivyake....ila anashukuru kwa maoni yaoMama mjanja sana nafikiri hata yule mzee wa msoga atakuwa anampatia baadhi ya material
tumepigwa pabaya mnoHuyo ni majanga matupu. Data zitapikwa zaukuaji wa uchumi mpk kupitiliza.
Mwigulu mkali lakini sio mwiziWizara ya Fedha kapewa Mwigulu nchemba. Tumekwishaaa
Enzi zile hakuwa na sauti kwa kuwa alikuwa naibu.umesahau enzi zake na maufisadi yaliyotokea??
kwekweli hata Dr kimei hajamuona ?? Au ukanda ule bado unapewa adhabu??HAPO UTEUZI WA MWIGULU KWENYE KIBUBU CHETU MAMA UMETUHARIBIA SIKU!! KUNA WATU KAMA PROF. MKENDA WANGEWEZA KUFAA KWENYE ILE NAFASI LAKINI NDIO HIVYO NG'OMBE WA MASKINI HAZAI!!!
Mzee Mangulla alilazwa hospitali halafu unasema ni uongo, wewe una akili nzuli kweli? Naona una mwezi mchanga!Ile ni siasa na hakuna ukweli wowote. Ni nani alikamatwa hata kwa kuhisiwa? Magufuli alikuwa na imani za kichimvi sana. Hata yeye alikuwa anadai alilishwa sumu lakini hakuna ukweli wowote.
utamwelewa tu, mpe muda tuMbona hata haeleweki huyu mama
Mama ameshafeli toka janaSina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...
Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....
Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶
kiongozi enhhh we niache tuuu Mama kanletea balaa sijui sura yangu ntaiweka wapiNa yule Dotto James kamuacha pale hazina?