Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Jamaa ni mjanja sana yaani na sasa ndiyo wakati wake maana kabakia yeye ambaye bado ni active kuliko mzee wetu wa kuuliza jina la mwanawe
Tuongee taratibu maana lile genge la wahuni aliloacha malehemu linamuwinda huyu mzee wetu
 
Huyo ni majanga matupu. Data zitapikwa zaukuaji wa uchumi mpk kupitiliza.
 
Bashiru Ametunisha CV yake kwa muda mfupi! Senior Lecturer, mwenyekiti tume kuchunguza mali za chama, Katibu mkuu CCM, Balozi - Katibu Mkuu Kiongozi na Mheshimiwa mbunge! CV imesheheni kwa mda mfupi - watch him
Kwani ukatibu Mkuu wa chama ndio basi? Kwani alikwisha kabidhi?
 
Kwanini useme marehemu alitunga na huku madaktari walithibitisha? Kwasababu gani iliyomfanya mwendazake amtungie mzee Mangulla? Fafanua.
Ile ni siasa na hakuna ukweli wowote. Ni nani alikamatwa hata kwa kuhisiwa? Magufuli alikuwa na imani za kichimvi sana. Hata yeye alikuwa anadai alilishwa sumu lakini hakuna ukweli wowote.
 
HAPO UTEUZI WA MWIGULU KWENYE KIBUBU CHETU MAMA UMETUHARIBIA SIKU!! KUNA WATU KAMA PROF. MKENDA WANGEWEZA KUFAA KWENYE ILE NAFASI LAKINI NDIO HIVYO NG'OMBE WA MASKINI HAZAI!!!
kwekweli hata Dr kimei hajamuona ?? Au ukanda ule bado unapewa adhabu??
 
Ile ni siasa na hakuna ukweli wowote. Ni nani alikamatwa hata kwa kuhisiwa? Magufuli alikuwa na imani za kichimvi sana. Hata yeye alikuwa anadai alilishwa sumu lakini hakuna ukweli wowote.
Mzee Mangulla alilazwa hospitali halafu unasema ni uongo, wewe una akili nzuli kweli? Naona una mwezi mchanga!
 
Mama ameshafeli toka jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…