Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Utumbo ndio sehemu ya identity ya Fundi. Naheshimu kuwa ukiona mtu amekosea hausiti kusema. Ni tofauti na wenzetu ambao baada ya kunywa kool aid huwaambii kitu kuhusu mtu wao.Basi kumbe ndo maana huwa wana-project hizo desperations zao kwa wengine!
Manake mimi sijawahi hata siku moja kuhusisha uungaji mkono wa kiongozi flani na kutaka uteuzi!
Hata wewe Fundi ukiandikaga pointi hapa JF [siyo ule utumbo wako…hahaa joking] huwa nakupa kudos….si kwamba nataka kitu toka kwako!
Kwahiyo unaona Joyce Temu naye ni Luteni Jenerali eeeh!!Hii Dunia haiko sawa kabisa. Yaani Hoyse Temu na Mnadhimu wa Jeshi la Tanzania ,Kamanda wa wanamaji, wako hadhi sawa sasa.Duuuuh!!!!
Jamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji??
Mbona taarifa haisemi kuwa wameteuliwa kuwa mabalozi wa nchi gani?
Usisahau kupalilia kaburi hapoNawazoom kutoka chato, yetu macho.remot control ipo kazini.
🤣🤣🤣Team mwendazake hali mbaya yaani kama sisi tu mtaani bila uzoefu lazima uombe kurudi kiijijini
Fafanua yuko vizuri kwa lipi.?Yuko vizuri mkuu, usiwe na shaka atatuwakilisha vema
Sio hadi. Ndio ile wanaokudharau siku moja watakusalimia kwa heshima..Ni wakati wake Mungu aliompangia wakushine ulitaka uteuliwe wewe?eti hadi ...Hadi Hoyce Temu!
Wakati Nchi nyingine wanatuletea majasusi, sisi tunapeleka mlimbwende.
Tuwaache na kazi yaoNaona kuna remote inaongoza nchi toka Msoga.
Nimesema huyu mama anamfahamu personally as a friende to give her "ulaji" . hana sifa za kuwa balozi. Mama anaanza "friendlism". Hana sifa........ Jiwe alikuwa na ukanda hyu ana ufriendlism au undugunisation. I stand to be corrected anyway. My statement is not absoluteNimpongeze tu balozi Hoyce Temu kwa jitihada zake za kupambana kimaisha.
Nakumbuka kumfahamu alipokuwa kidati cha 6 baadae nikamkuta Stendi ya Kisutu akiwa kondakta wa bus la mkoa
Mara nikamshuhudia akishinda taji la miss Tanzania.
Mara mtangazaji wa vipindi vya luninga.
Leo ni balozi mteule kongole kwake!
Samia is listening too much to whatever JK is telling her.
Hivi kuteuliwa serikalini kibongo bongo ni dili eh?
Kweli mentality zipo tofauti sana.
Wakati baadhi yetu hatutaki kabisa kufanya kazi serikalini, wengine wanaona kufanya kazi serikalini ni zali!
Ndo maana mara nyingi wengine huwa hatuelewani kabisa humu!
I mean…ubalozi nao ni dili? 🤣