Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mabalozi; wamo Hoyce Temu na Togolani Mavura

Utumbo ndio sehemu ya identity ya Fundi. Naheshimu kuwa ukiona mtu amekosea hausiti kusema. Ni tofauti na wenzetu ambao baada ya kunywa kool aid huwaambii kitu kuhusu mtu wao.
Binafsi nafikiri kama watakupa uteuzi watajuta mapema sana maana ukiwa "bored " tu utawageuka just for the heck of it.

Amandla...
 


Balozi mtarajiwa Hoyce Anderson Temu ni msomi aliyezaliwa tarehe 20-03-1978 katika jiji la Dar Es Salaam, nchini Tanzania. Alianza kupata elimu yake ya sekondari amechukua katika shule ya Arusha na shule ya wasichana ya Zanaki. Na baada ya kumaliza elimu ya sekondari alijiunga katika chuo cha Arizona State nchini Marekani kwa elimu ya juu na kuchukua shahada ya kwanza. Baada ya kumaliza shahada ya kwanza alianza kufanya kazi kama meneja wa mambo ya ushirika katika Benki ya Standard Charter na kuendelea kusoma chuo cha Diplomasia.

Pia alijiunga katika chuo kikuu cha Mtakatifu Augustine na kuchukua elimu ya Mawasiliano ya Umma; na alichukua Shahada ya Uzamivu Johanesburg, nchini Afrika ya Kusini. Mheshimiwa Hoyce Temu alikuwa mkuu wa kitengo cha Mawasiliano cha Umoja wa Mataifa (UN), amehusishwa na kazi za kuisaidia jamii.


Amekuwa akiendeleza sanaa ya urembo nchini Tanzania, ni mtangazaji wa kipindi cha runinga kinachojulikana " Mimi na Tanzania " alichokianzisha mwaka 2011 kikiwa na lengo la kuyaibua matatizo ya watu wenye uhitaji ili waweze kupata msaada wa fedha, faraja au fedha na faraja; kipindi hicho kimeweza kuwa msaada kwa watu wengi katika jamii yetu. Na mwaka 2014 siku ya wanawake duniani taasisi ya MISA ilimtangaza kama moja ya wanawake mashuhuri !

 
Phd's ndio wametufikisha pale awamu ya 5...nadhani sasa waendelee kufanya tafti......mungu mwema
 
Togolani Edriss Mavura

Togolani Edriss Mavura holds Post Graduate Diploma in Management of Foreign Service from Mozambique-Tanzania Centre for Foreign Relations and Bachelor Degree in Political Science and Public Administration (International Relations) from the University of Dar es Salaam. Togolani is experienced Civil Servant with hands on experience on government, diplomacy, public policy and communication. He previously served as the Private Secretary to the Minister of Foreign Affairs, Personal Assistant to the President (Speechwriter) and a career Foreign Service Officer.

Before joining the Fellowship, he serves as the Private Secretary to the Former President H.E. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete where he assisted him in his various capacities as African Union High Representative on Libya, Global Ambassador for Immunization (GAVI), Commissioner of the Education Commission on Financing for Global Education Opportunity, Member of the UN High Level Group on Scale Up Nutrition (SUN), Member of the UN High Level Group on Every Women Every Child (EWEC), Member of the World Malaria Council and Chancellor of the University of Dar es Salaam.


 
Wakati Nchi nyingine wanatuletea majasusi, sisi tunapeleka mlimbwende.

Nina wazi chanya.

Kwa mujibu wa kumbukumbu zangu, Hoyce Temu ndiye Mlimbwende pekee wa TZ aliye na IQ kubwa inayomruhusu kuwa Mkurugrnzi wa Taasisi makini.

Nilimfahamu wakati tunatekeleza mradi wa Great Lakes Initiative, around Lake Victoria.

Alikuwa katika sekretarieti ya Mradi.

Mradi ulikuwa unatekelezwa chini ya usimamizi wa UNA Tanzania, Katibu Mkuu wakati huo akiwa Reginald Munisi.

She has a smart brain, and a beautiful face.

Kwa hiyo, sina tatizo na uteuzi wake.
 
Nimesema huyu mama anamfahamu personally as a friende to give her "ulaji" . hana sifa za kuwa balozi. Mama anaanza "friendlism". Hana sifa........ Jiwe alikuwa na ukanda hyu ana ufriendlism au undugunisation. I stand to be corrected anyway. My statement is not absolute
 

Njaa mkuu,Njaa,

Na ndiyo maana kitu Cha kwanza kufikiria baada ya kupata nafasi ni kuiba tuh,Njaa
 
Hoyce Temu ndiye yule aliyekuwa Keko,au siyo?
Rais sijui amemfahamu vipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…