HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ila hawatakusahau kwa wema wakoTeuzi moja ilipita,msaidizi wa Rais kwenye.....wa mtaani kabisa na ametumia nondo zangu kupasua form 4 and 6!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hawatakusahau kwa wema wakoTeuzi moja ilipita,msaidizi wa Rais kwenye.....wa mtaani kabisa na ametumia nondo zangu kupasua form 4 and 6!
Haya majina mengine wazazi wajitathmini Sana yaani dah!.. yaani unamuitaje mtoto Njaa ....Mayala ni Njaa....acha aendelee kula njaa.
Mi naona Mabalozi wengi wanatokea Wizarani na Ikulu kasoro Temu na wale wajedaKwa hiyo msoga gang wamerudi ndani ya nyumba....nimeona na wazenziberi wametamalaki, sukuma gang tupa kule, acha mchuano uendelee...
Una Uhakika gani Temu sio Jasusi?Wakati Nchi nyingine wanatuletea majasusi, sisi tunapeleka mlimbwende.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi kweli kweli!!Mimi na Magufuli ni kitu kimoja...
Kuna dhana 2 hapo amemuheshimu sana Mabeyo ( ndio alikataa kupindua meza) huenda wamepushana na msaidizi wake.....ingawa najua mama hapendi kutumbua wale wa imani moja nabyeye ukiona hivyo ujue chungu cha moto umeona hatq Ibuge na yule wa JKT....amewatoa sababu hawaendani na CDF...
Mwaka 2001 nilimtembelea mama yake Togolani, pale Mtaa wa Samora, Jijini Dar.Bora mwizi anaekuacha na wewe uibe ule na familia yako kuliko mwizi anaekuziba mdomo usile na kukufunga mikono usiibe na kukuua kabisa!!!
Ni balozi atatuwakilisha kwenye ukoo wa akina "manunu"Hata Wema Sepetu hajaonekana ?
Mpaka Mataga na sukuma Gang yapukutike yote.Kibao kimewageukia!! Mama anawapiga tu ngumi za uso! 😬😬😬
We mnafiki usie na uso wa haya kaa kimya.Kibao kimewageukia!! Mama anawapiga tu ngumi za uso! 😬😬😬
🤣😂Nimeona mpaka msaidizi wa Rais wa awamu ya nne.