Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Ni bora kuliko uongozi wa yule katili.Jakaya kikwete anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bora kuliko uongozi wa yule katili.Jakaya kikwete anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma...
Lissu anasubiriwa aje ateuliwe kuwa Katibu Tarafa! Tena tarafa ya kwao Iramba!Jamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Alikuwa na kipindi chenel ten cha kusaidia watu wenye shida na matatizo mbalimbali.Hoyce Temu ndiye yule aliyekuwa Keko,au siyo?
Rais sijui amemfahamu vipi.
Wewe Mataga, mimi ni mnafiki wa nini? Au unahisi tulikuwa kambi moja ya kuabudu, na sasa nimewasaliti?We mnafiki usie na uso wa haya kaa kimya.
Naunga mkono hoja.Nina wazi chanya.
Kwa mujibu wa kumbukumbu zangu, Hoyce Temu ndiye Mlimbwende pekee wa TZ aliye na IQ kubwa inayomruhusu kuwa Mkurugrnzi wa Taasisi makini.
Nilimfahamu wakati tunatekeleza mradi wa Great Lakes Initiative, around Lake Victoria.
Alikuwa katika sekretarieti ya Mradi.
Mradi ulikuwa unatekelezwa chini ya usimamizi wa UNA Tanzania, Katibu Mkuu wakati huo akiwa Reginald Munisi.
She has a smart brain, and a beautiful face.
Kwa hiyo, sina tatizo na uteuzi wake.
Labda amehofia kujichanganya kama kule kwa RC wa Simiyu na Arusha!Mbona taarifa haisemi kuwa wameteuliwa kuwa mabalozi wa nchi gani?
Bado hawajapangiwa vituo vya kazi.....nadhani watapangiwa kabla ya kuapishwa.Hata mimi nimeshangaa lakini vituo vyao vya kazi watapangiwa baadaye.
Why not Hoyce Temu? Ulitaka amteue SHILOLE au WEMA? Kazi nyingine zinahitaji staha!!!Hadi Hoyce Temu!
Which is good thing.. Kikwete tunamuhitaji sana.Samia is listening too much to whatever JK is telling her.
Nadhani tunamuona Hoyce hana sifa kwa sababu tunam-judge kutokea kwenye Entertainment Industry ambako ndiko kulimfanya afahamike!!Nimesema huyu mama anamfahamu personally as a friende to give her "ulaji" . hana sifa za kuwa balozi. Mama anaanza "friendlism". Hana sifa........ Jiwe alikuwa na ukanda hyu ana ufriendlism au undugunisation. I stand to be corrected anyway. My statement is not absolute
Miss Elsie Kanza , Mindi Kasiga wote msoga hiyo!!!Team Kikwete waanza kuula , Mavula ndani .
Umeona eeh. Natamani chadema ile ya zamani irudi, tulikuwa tunawaponda sana enzi hizo za kuchekeana tu wakati taifa linaangamia kwa wizi, rushwa, ujambazi, uzembe, sembe, na kila aina ya uchafu. Rip my beloved former chadema!Team Kikwete waanza kuula , Mavula ndani .
Atamtumbukiza kwenye EPA nyingine sasa hivi!! They are taking advantage of her naivety.Which is good thing.. Kikwete tunamuhitaji sana.
Naona mama kaamua kuisafisha ofisi yake kabisa. Yaani kawatoa kwelikweli.
Nimeona mpaka msaidizi wa Rais wa awamu ya hamna kurithi
Msoga gang siyo?Miss Elsie Kanza , Mindi Kasiga wote msoga hiyo!!!
Mkuu mbona kama unamzungumzia Joyce kiriaAlikuwa na kipindi chenel ten cha kusaidia watu wenye shida na matatizo mbalimbali.
Pia kwenye uchaguzi wa 2015 ndoa yake nadhani ilivunjika baada ya kukataa kumuunga mumewe mkono aliyekuwa anagombea jimbo la Mwanga kwa tiketi ya CHADEMA na yeye aliamua kumuunga mkono Magu. Hata hapa juzijuzi kuna mambo yalimsibu nadhani ndo kama kapewa pole.
K vant imeanza tena haki ya Mungu. Nimechanganya mafile. Thanks kwakunicorrect Mkuu.Mkuu mbona kama unamzungumzia Joyce kiria
Elsie Kanza huyo mbwa aliyehusika kuharibu afya yako kipindi kileee kwa kujidai na cheo chake Asifikiri Mungu kasahau Anyway hongera lakini Mungu hawezi nyamaza atamalizana naye