Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayala ni Njaa....acha aendelee kula njaa.Paschal mayalla kakosa na huku pia, [emoji51][emoji51][emoji51]
Ubalozi ni hadhi kubwa sana.Hoyce Temu ameula hongera zake sana..Sipatii picha Mange atakavyomsakama jamani...Aliyebarikiwa kabarikiwa tu.
Umetumwa?!Jamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Ila Hoyce yuko vzr vita kati ya Mange na Rachel sasa tusubiri matusiHoyce Temu ameula hongera zake sana..Sipatii picha Mange atakavyomsakama jamani...Aliyebarikiwa kabarikiwa tu.
Atateua wapinzani! Au umesahau nikukumbushe ulivyokuwa unademka kwenye ule uzi?Umetumwa?!
Sana tu,ndo ameshaongezewa Cv yake mwenyewe Balozi Hoyce Temu.Ubalozi ni hadhi kubwa sana.
Umebaki ww...!Kazi iendelee....maisha yanaenda kasi 3 classmates kwenye huu uteuzi!
Wakikamilisha Bandari ya Bagamoyo watakua wamepiga hatua Kubwa sana. Namuamini sana Kikwete. Ikibidi awe Mkuu wa Nchi kisha tuwe tunachagua wakuu wa serikali. Busara za JK ni za kiwango cha juu sana.Huyu mama na Kikwete inaonekana kuna mengi anashauriwa nae, bado bandari ya Bagamoyo tumalize kukusanya ushahidi.
Acha iwe hivyo kuliko utawala ule aiseJakaya kikwete anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma...