mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Kwani ananjaa Kama weweJamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ananjaa Kama weweJamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Kitu kimoja kwa maana ya rais na makamu wake. Tofauti ipo, huyu ana maumbile ya kike na moyo wa Mama.Kazi kweli kweli!!Mimi na Magufuli ni kitu kimoja...
Ningekuwa nataka ningekuwa huko siku nyingi.Umebaki ww...!
Itakua vita ya tatu ya dunia,Na hivi limange lina wivu mnoo mfyuu.Ila Hoyce yuko vzr vita kati ya Mange na Rachel sasa tusubiri matusi
🥵🥵👊👊Ningekuwa nataka ningekuwa huko siku nyingi.
Kwani uliambiwa Bashiru Ally anakwenda wapi alipoteuliwa? Ukiteuliwa kuwa balozi utasubiri hata mwaka au zaid kupangiwa kituo cha kwanzaMbona hajasema hao mabalozi wanaenda wapi?
Ngoja ipo siku watakusukumia kwenye teuzi kama mwendazake alivyopata zali la u~Rais ha haNingekuwa nataka ningekuwa huko siku nyingi.
Ameisafisha ofisi aanze na wa kwakeNaona mama kaamua kuisafisha ofisi yake kabisa. Yaani kawatoa kwelikweli.
Nimeona mpaka msaidizi wa Rais wa awamu ya nne.
Team Kikwete waanza kuula , Mavula ndani .
Kuna mtu atapandishwa kuwa Chief of staff na ndiye atakuja kuwa CDFChief of Staff "ametumbuliwa"
Hoyce Temu kalamba ubalozi.
Jiulize lawama kwa KCMC zilikotoka , nadhani imeelewekaDuh, hadi Hoyce Temu amekuwa Balozi. Inabidi na mimi niongeze kasi yangu ya kupata connections.
Asingekuwa na njaa angekaa kwa amsterdam?Kwani ananjaa Kama wewe
Pascal MayallaPaschal mayalla kakosa na huku pia, [emoji51][emoji51][emoji51]