fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Zama za teuzi na kupongezana kwa mashampeni zimerudiii,wageni wa kualikwa team ufipa wakiongozwa na bavicha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hujui. Kwa Bashiru issue ilikua ni u Katibu Mkuu Kiongozi siyo ubalozi. Najua utaendelea kubisha.Mkuu watu walitoa mapovu Bashiru alipoteuliwa kuwa balozi na hadi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi haya sasa huyu Hoyce Temu nae kawa balozi nasubiri mapovu na sheria zinavyosema kama walivyomnanga mwendazake kwa Bashiru.
Team Meko watakua wana hasira sana sasa ivi Mkuu.Team Kikwete waanza kuula , Mavula ndani .
We umesahaulika mkuuKazi iendelee....maisha yanaenda kasi 3 classmates kwenye huu uteuzi!
Man, punguza negativities...Huyu mama na Kikwete inaonekana kuna "connection" fulani, bado bandari ya Bagamoyo tumalize kukusanya ushahidi.
Tunatamani arudi madarakani kabisa! Wewe kama inakuuma shauri yako 😄😄Jakaya kikwete anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma...
Hivi kuteuliwa serikalini kibongo bongo ni dili eh?Ningekuwa nataka ningekuwa huko siku nyingi.
Kwanini hamtaki kuweka wazi huo mkataba wa hiyo bandari ya Bagamoyo, mnaficha nini?Wakikamilisha Bandari ya Bagamoyo watakua wamepiga hatua Kubwa sana. Namuamini sana Kikwete. Ikibidi awe Mkuu wa Nchi kisha tuwe tunachagua wakuu wa serikali. Busara za JK ni za kiwango cha juu sana.
Hata hivyo Hoyce amefanya mengi kijamii kupitia kipindi chake cha TV. Shule pia siyo ipo.Hoyce Temu ameula hongera zake sana..Sipatii picha Mange atakavyomsakama jamani...Aliyebarikiwa kabarikiwa tu.
AswaaAcha iwe hivyo kuliko utawala ule aise
Hahahahahahahaha!Eti eeeh,🤣🤣 upinzani wa TZ daah 😂
Embu fafanua zaidi kidogo mkuu, maana nimekuwa siyo mfuatiliaji sana wa mambo yanayoendelea.Jiulize lawama kwa KCMC zilikotoka , nadhani imeeleweka
Hayo ni maoni yangu jomba, natafakari kichwani then nakuja nayo, sioni ubaya wowote hapo, haswa nikikumbuka yaliyotokea wakati akielekea kupewa madaraka, challenges alizo-face toka kwa kundi la mwendazake na support aliyoipata toka Msoga.Man, punguza negativities...
Afadhali huyo Togolani angekuwa mzee ungesema kwamba "mtu keshazeeka bado anapewa kazi"!
Sasa hoja yako kwa hapo ni ipi hasa? Kwa sababu tu alikuwa msaidizi wa JK?!
Kumbe wewe sio mlalahoi kama mimi?Ningekuwa nataka ningekuwa huko siku nyingi.
Maisha tunayachukulia tofauti. Watanzania wengi 'uheshimiwa' ni very big deal.Hivi kuteuliwa serikalini kibongo bongo ni dili eh?
Kweli mentality zipo tofauti sana.
Wakati baadhi yetu hatutaki kabisa kufanya kazi serikalini, wengine wanaona kufanya kazi serikalini ni zali!
Ndo maana mara nyingi wengine huwa hatuelewani kabisa humu!
I mean…ubalozi nao ni dili? 🤣
Ishu ya Bashiru ilikuwa ni namna alivyoteuliwa kuwa KMK kutoka kuwa katibu mkuu wa chama cha siasa.Mkuu watu walitoa mapovu Bashiru alipoteuliwa kuwa balozi na hadi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi haya sasa huyu Hoyce Temu nae kawa balozi nasubiri mapovu na sheria zinavyosema kama walivyomnanga mwendazake kwa Bashiru.