NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Bora mwizi anaekuacha na wewe uibe ule na familia yako kuliko mwizi anaekuziba mdomo usile na kukufunga mikono usiibe na kukuua kabisa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kuna pipo zimechaguliwa hadi nimefurahi yani.......Kazi iendelee....maisha yanaenda kasi 3 classmates kwenye huu uteuzi!
Kivipi mkuu? Mbona waheshimiwa wengi tu walikuwa walalahoi?Kumbe wewe sio mlalahoi kama mimi?
Hizi gang huwa zinakuja na viongoziMsoga gang...
Bila kumtaja Lissu huwezi kupata usingiziJamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Usilazimishe connection mkuu. Mimi kuna mtoto mmoja wa kigogo alikuwa rafiki yangu, I was treating her well, ila akadhani labda ninajitengenezea mazingira ya connection, nilimchana live nikamwambia mimi sina njaa kali kama unavyonidhania.Duh, hadi Hoyce Temu amekuwa Balozi. Inabidi na mimi niongeze kasi yangu ya kupata connections.
Teuzi moja ilipita,msaidizi wa Rais kwenye.....wa mtaani kabisa na ametumia nondo zangu kupasua form 4 and 6!Aisee kuna zimechaguliwa hadi nimefurahi yani.......
Na buku mtaani, mtu aliyeajiriwa serikalini anapewa heshima kubwa hata kama analipwa laki tatu.Maisha tunayachukulia tofauti. Watanzania wengi 'uheshimiwa' ni very big deal.
Kwani kuna aliezaliwa mahsusi kuwa balozi? Nadhani ame meet vigezo vya mteuaji.Kwani ulitakaje?
Kweli kweli jembe kama Lissu ni mtu wa kupewa ubalozi? Unatania nini? Akabanane na kina Hoyce Temu kweli kuna heshima hapo?Jamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Daaah, nimefurahi sana kwasababu kwenye hii orodha kuna watu wengi walikuwa pale Foreign Affairs kama wamesahaulika yani. Wengi waliopata teuzi wana ufahamu mzuri na masuala ya diplomasia, utawala, biashara na ulinzi. Naona Liberata amekumbuka watu wa wizara yake: Hivi ndivyo inatakiwa iwe.....Teuzi moja ilipita,msaidizi wa Rais kwenye.....wa mtaani kabisa na ametumia nondo zangu kupasua form 4 and 6!
Ndio inabidi mjifunze, awamu iliopita aliweka wake,na awamu hii anaweka wake. Kula kwa zamu.Team Kikwete waanza kuula , Mavula ndani .
Kama ni hivyo mkuu, basi ipo siku na mimi nitaondokana na hii status ya kuwa mlalahoiKivipi mkuu? Mbona waheshimiwa wengi tu walikuwa walalahoi?
Kuna Watu Wako Mambo Ya Nje Ambao Ni MabaloziKwani uliambiwa Bashiru Ally anakwenda wapi alipoteuliwa? Ukiteuliwa kuwa balozi utasubiri hata mwaka au zaid kupangiwa kituo cha kwanza
Ni mumeo?Hongera zangu kwa kaka Tonny Togolani.