othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Jamani hoyce temu ndio yule Dada anayesaidia watu kijamii ana haki kabisa ya kuwa balozi amejitoa kusaidia jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewaona waliwekwa bench awamu iliopita,mbaya zaidi walikuwa vijana it's frustrating. Kuna mmoja atafika mbali sana siku ikifika nitakukumbusha.Daaah, nimefurahi sana kwasababu kwenye hii orodha kuna watu wengi walikuwa pale Foreign Affairs kama wamesahaulika yani. Wengi waliopata teuzi wana ufahamu mzuri na masuala ya diplomasia, utawala, biashara na ulinzi. Naona Liberata amekumbuka watu wa wizara yake: Hivi ndivyo inatakiwa iwe.....
Huyu mama Liberatha ni mtu mmoja smart sana. Niliposikia tu amekuwa waziri nikaanza kusoma mahojiano yake huko Google na taasisi za kimataifa. She's very smart upstairs.Daaah, nimefurahi sana kwasababu kwenye hii orodha kuna watu wengi walikuwa pale Foreign Affairs kama wamesahaulika yani. Wengi waliopata teuzi wana ufahamu mzuri na masuala ya diplomasia, utawala, biashara na ulinzi. Naona Liberata amekumbuka watu wa wizara yake: Hivi ndivyo inatakiwa iwe.....
Pambana mkuu, waheshimiwa wengi wametoka mbali.Kama ni hivyo mkuu, basi ipo siku na mimi nitaondokana na hii status ya kuwa mlalahoi
Mungu yupo pamoja namiPambana mkuu, waheshimiwa wengi wametoka mbali.
Hmm…really??Huyu mama Liberatha ni mtu mmoja smart sana. Niliposikia tu amekuwa waziri nikaanza kusoma mahojiano yake huko Google na taasisi za kimataifa. She's very smart upstairs.
Siyo mbali,ni connection tu.Pambana mkuu, waheshimiwa wengi wametoka mbali.
Yaaah mkuu, binadamu hatufanani views ndio maana kuna Simba na Yanga.Hmm…really??
I don’t think she’s as smart as you think she is.
Kwani ulitakaje?
Usilazimishe connection mkuu. Mimi kuna mtoto mmoja wa kigogo alikuwa rafiki yangu, I was treating her well, ila akadhani labda ninajitengenezea mazingira ya connection, nilimchana live nikamwambia mimi sina njaa kali kama unavyonidhania.
Hadi Hoyce Temu!
Hakika. Hata UN na Dr. BannaAkina Slaa wajiandae kurudi nyumbani
Daaah, noma sana mazee tena walianza kugongwa benchi baada ya Liberata kutimuliwa kipindi kile.Nimewaona waliwekwa bench awamu iliopita,mbaya zaidi walikuwa vijana it's frustrating. Kuna mmoja atafika mbali sana siku ikifika nitakukumbusha.
Hii ngumu sana kwangu mkuu. Nitagombana naye waingereza wanasema "on spot"Nilichokuja kugundua, kujenga connection kunahitaji uvumilivu sana. Faida zake huwa ziko long term sana. Mara nyingi uwe tayari kutumika ili kustawisha mahusiano.
Mtu kuwa kiongozi Bongo ni kama kuwa mungu mtu. Nafasi za uongozi zinachukuliwa kama sehemu ya kujineemesha na kuwa mamlaka ya kutenda upendavyo. Ile dhana ya ya kuwa uongozi ni utumishi kwa watu haipo kabisa. Ndiyo maana watu wakipata nafasi ya uongozi wako radhi hata kujilidhalilisha ili tu wapendwe na aliyewateua. Kipindi cha nyuma kuna wakati China ilisema Afrika iko nyuma kwa sababu aina ya demokrasia inayofuatwa Afrika haiendeni na mazingira yake. Kuna ukweli fulani kwenye hili.Hivi kuteuliwa serikalini kibongo bongo ni dili eh?
Kweli mentality zipo tofauti sana.
Wakati baadhi yetu hatutaki kabisa kufanya kazi serikalini, wengine wanaona kufanya kazi serikalini ni zali!
Ndo maana mara nyingi wengine huwa hatuelewani kabisa humu!
I mean…ubalozi nao ni dili? 🤣
Abusing who? Mimi huyu huyu? Hahahaaa atangojea saaana mkuu. Bora nivae magunia kama sina hela za kununulia nguo kuliko kuomba msaada kwa mtu anayenidharau.Ni kweli kuna wengine wanaweza kutaka kuku abuse au kukuchukulia poa kwa sababu wanadhani au kujiona unawahitaji wao kuliko wao wanavyokuhitaji wewe.