Rais Samia Suluhu Hassan: Alama ya mwisho ya anguko la Utawala wa CCM, Tanzania

Tanzania sio mali ya CCM bali ni mali ya Watanzania wenyewe, endelea kumtia moyo rais wa mwisho kutoka CCM, ila wananchi wanachukua nchi yao waliyopewa na Mungu, CCM ni ngome ya ibilisi itaangushwa na mwenye mamlaka mwenyewe.
 
😄🤣🤣🤣🤣CHADEMA hawataki kusikia ukweli huu.
Hivyi kwenye wenyeviti vya vyama vyao wameng'ang'ania ukiwapa Ikulu si watafia happy Kama kupe.
Ndio maana hatutawapa nchi kamwe. Chadema wanachotakiwa kujua ni kwamba watanzania wa sasa sio wale wa mwaka 2000, ambapo watu walikuwa wanapakizwa kwenye mafuso kwenda jangwani au kidongo chekundu kumuona Lipumba badala ya kwenda kusikiliza sera za chama.
 
Very weak Governance and power of transitional politics. But good to remain with current eyesight you have. You need to synthesis your political transition analysis for it to show the way forward.
We have two ways in order to move forward...

1. The sixty years reign of CCM politics for this beautiful nation has to go down the grave....

This is the natural principle, that each beginning has its end. No one resists the natural principle goes unpunished...!

Foolishly and unknowingly its consequences, you are resisting the nature depending on human power and conscience...

2. The ruling CCM party and Madam President of URT ndugu, Samia Suluhu Hassan can a little bit make delayment for this to happen soon...

Unfortunately for them is that, they are totally obsessed with what they eat, drink and enjoy today while their tomorrow is no where to be seen..!!

It's sorrowful that the fire is burning towards their entrance. Who can save them...?

Hopefully, you got me..

NB:
For reference, you can read again and again my main topic...
 
Kuna harufu/upepo wa mabadiliko ya kisiasa hapa Afrika mashariki.
Uganda wameshamchoka mu7, Kenya mzee Jomo aliacha warithi watatu na Uhuru ndio anamalizia hivyo, Burundi inaitegemea ccm, Kagame hatakuwa na option atakapojikuta amezungukwa na majirani wageni kabisa, DRC sijui lakini lazima itapata effect kwa kiasi fulani, n.k.
Muingiliano wa mataifa ya Afrika na mataifa yenye nguvu ulimwenguni nao upo katika hali ya mabadiliko.
 
Heri yako wewe unayaona mambo katika jicho angavu la tatu...

Shauri lao ambao bado wanatumia macho mawili yaleyale ya toka mwaka 1961 au 1964 kuzitazama siasa za dunia ya Leo...

Hawa ufahamu wao umefunikwa na EGO na PRIDE zao zenye kufisha na kuangamiza...
 
The devil is always a liar...!

Who the hell do you think you are to say these words..?

Shameful ending is coming for you. You will surely swallow these words...
Mlipanga kuitafuna nchi, matokeo yake nchi imewatafuna nyie. Mwenyekiti kameza hela zote zilizochangishwa kwenye kampeni. Je tukiwapa nchi hazina itasalimika kweli?

 
Kufa CCM siyo leo kama wapinzani wenyewe was hivyo, hoja matusi tu, mara tuandamane. WaTZ walishajifunza kwenye mataifa yanayofanya siasa za nguvunguvu wakaona matokeo yake hivyo hawawezi kujiingiza kwenye siasa za matusi na maneno makali.
Asante kwa maoni yako..

Lakini ni wazi kuwa, huna uhakika au hujui kabisa usemalo...

Na ni kwa sababu hujui historia na siasa za dunia ya leo...

Bado unayatazama mambo katika jicho la "utamaduni wa mazoea" ya kusikia au kuambiwa...

Yatazame mambo ktk jicho la tatu tena likiwa angavu, utaona mambo ya ajabu sana yatakayobadilisha ufahamu wako...
 
Mlipanga kuitafuna nchi, matokeo yake nchi imewatafuna nyie. Mwenyekiti kameza hela zote zilizochangishwa kwenye kampeni. Je tukiwapa nchi hazina itasalimika kweli?

View attachment 1843222
Kumbe wewe ni mtoto kwelikweli...

Huwezi kujadili hii mada...

Mimi siko interested kutazama au kuangalia komedi..

Asante
 
Chama cha Ukoo kichukue nchi, uliona wapi....
 
Zanzibar na Tanganyika ni nchi moja..toeni kauli zenu za utenganishi kwa kuchuchumilia madarakaa...hakuna kitu kama hichoo..huu muungano ni wa moja kwa moja..wala msitegemee chochoteee...hayo madaraka mnayoyalilia hamtakaa muyapatee hakikaa
Sijaelewa ni kitu gani kumekufanya ung'ake...

Halafu mimi siko huko unakofikiria wewe...

Sijawahi kutamani madaraka ya uongozi na nchi...

Mimi ni raia wa kawaida sana ambaye sijulikani CCM, CHADEMA au chama chochote cha siasa zaidi ya hapa JF...

Tunajadili mstakabali wa nchi yetu. Na harakati zetu tunazifanya kwa mwavuli wa "undercover". Huwezi kutujua kwa sura, lakini tupo...

Katika kujadili huwezi kukwepa kuitaja CCM , Rais Samia Hassan na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...
 
Mkuu acha tujipe muda ili hio siku ikifika wote tushuhudie utabiri wako.... Mungu atupe umri mrefu wa kwetu na wa Babu zetu ili tushuhudie hayo ulosema.

Nitaomba mnikumbushe.

Asante
 
Katika hali ya kawaida,kama Magufuli angeongoza vizuri,watanzania bara wasingekubali kabisa kuongozwa na raisi mzanzibari. Wengi tulijua Mwinyi alikuwa wa mwisho.

Kwa bahati mbaya,Magufuli alikuwa mtawala mbaya ambaye amesababisha watanzania bara wamchukulie Samia kama mkombozi. Kutokana na hofu ya masalia ya Magufuli serikalini,watanzania wengi,wako tayari kuongozwa na wazanzibar,i angalau kwa sasa,mpaka watakapoamini kwamba masalia ya Magufuli yamemalizika serikalini ili nchi isirudi kwenye utawala wa hovyo wa awamu ya Magufuli.
 
Uko sahihi. "Social and political reforms are in making. Behold".
 
Umejaza pumba tu, sioni wa kuitoa CCM kwa sasa.Kwa Vyama vilivyoko sasa hakuna, vyama vilivyojaa wahuni, wabinafsi na wakabila kama mbowe,zitto, mbatia na lipumba ndio viitoe CCM? Acha kuchekesha wewe
 
Kwa hiyo mkuu unaamini kabisa aliyekuwa anaizamisha CCM ni JPM na ndio ilikuwa inaelekea kufa ?

Nope. Maana takwimu tu zinakataa. Kipindi cha JPM wapinzani wamepungua na upinzani ulipoa kabisa. Ushahidi ni bunge la sasa.
Kwa siasa za kigaidi za jpm ulitarajia matokeo gani?

Unadhani unaweza kuendesha utawala wa aina ya Magufuli na watu wakatulia na kukuacha ufanye upendavyo. Lilikuwa ni suala la muda tu.. .. hatimae uasi ungetamaliki kila kona.

Kwa hiyo,wewe unaona jpm aliimarisha CCM? Kama huo ndio mtazamo wako ni vigumu kukuelewesha ukaelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…