Rais Samia Suluhu Hassan ampa onyo Waziri wa OR-TAMISEMI, Selemani Jafo

Rais Samia Suluhu Hassan ampa onyo Waziri wa OR-TAMISEMI, Selemani Jafo

Jaffo alikua alikua bize kutangaza phase za nyungu tu.
 
Tunashauri ukubwa wa Baraza la mawaziri upunguzwe wewe ndo kwanza unataka wizara moja iwe na mwaziri sita! Labda nawe NI mnufaika wa hizo teuzi.
Kwann ufanye hiyo assumption!?

TAMISEMI ikisimamiwa ipasavyo. Kuna tija!? Je, tija hiyo inaweza kujustify kuongeza manaibu hao!? Nadha hilo ndilo muhimu kujiuliza. Wizara hii ni kubwa mno without focus hakuna atakayeiweza.
 
Nashauri uweke simu ambazo wizi unapotokea mtumishi apige kuelezea tukio lilivyotokea na weka vijana wa kazi wanaofuatilia haraka na wakigundua ni kweli fukuza watu maramoja.

Wakuu wa idara wana mishahara mikubwa Mara 5 ya mtumishi wa kawaida ambaye ni graduate kwa nini hawalidhiki kazi wizi tu? Angalua Mh una wizara ngumu yenye mchwa mkali, ukiwachekea watakuponza.
 
Kuna kila aina ya kukubali kuwa ripoti ya CAG imepiga upande wa TAMISEMI ambapo imesababisha kuti alilokuwa amekalia Jafo kukauka ghafla. Na ni kawaida ya mnazi kuti likikauka huwa linadondoka chini kwa matumizi mengine.

Hadi sasa Mhs. Jafo amesha watoa kafara watu zaidi ya 8 anaowaweza na majina mengine 8 ya wakurugenzi wa halmashauli na kuyasogeza mezani kwa Mama hili yatolewe kafara bila ya yeye kuweka jina lake.

Kweli kila dhama na kitabu chake.
 
Yaani juzi tu wala maboga walibwatuka kuwa jiwe ni Rais pekee aliyeweza kuikoa Tz na genge la wezi....
Hata wakati wa Magufuli, Halmashauri zilikuwa zinapata hati chafu. Tena zile zilizoongozwa na upinzani kumbuka Kigoma ujiji huko. Na baadhi ya wakurungezi kutakiwa kujieleza.
 
hiyo takataka ya Kisarawe ilitakiwa ifukuziwe mbali hamna kitu humo ramli tu na nyungu
 
sio amempa onyo ametimiza wajibu wake kama raisi na ndio hivyohivyo kwa watendaji wengine kuwajibika bila ya kuangaliana usoni. Makavu makavu na hata Raisi nae hatapewa onyo ila ataelezwa vile wapinzani wanavyoona kama anavuruga watamtolea uvivu na hata kama hakuvuruga,kisiasa nasema kisiasa mpinzani hatakiwi kuunga mkono hata kama mambo yanaenda sawa likikosekana hata anavyotembea tutasema sasa Raisi anaringa alimuradi upinzani uwe ni upinzani la kweli nalo pia litapingwa na kutolewa makosa japo hayapo ,si tunaona polisi anakupa makosa hata kama gari umepaka rangi jana ,atakwambia umepaka rangi unavyotaka wewe hapa imekoza alimuradi akuweke upande wa mkosaji.
 
Hii ni mara ya pili huyu waziri wa TAMISEMI anahonywa mbele ya hadhara kwamba abadilike katika utendaji wake.

Kwa kauli ya leo kutoka kwa Rais Samia Suluhu, Jaffo anatakiwa kujizuru nyazifa zake.

Kakini pia huyu Jaffo ana nini cha mno mpaka aendelee kupewa maonyo kila siku juu ya utendaji wake na usimamizi wa mali za umma?
Katika hili Jaffo unatakiwa utumie hekima na busara kuiacha TAMISEMI, kiuhalisia wizara hii kubwa imekushinda.
Hana akili yule kukuelewa itamchukua muda sana
 
Jafo mbona alikuwa busy sana kukagua miradi mbali mbali iliyo kuwepo tamisemi ..binafsi nahisi shida ipo ktk halmashauri na tawala za mikoa husika
Pengine ukaguzi wa ndani unashida pia
Lakini binafsi naona bado Jaffo ana paswa awe na msaidizi mkali mwenye uzoefu zaidi kuliko wanaomsaidia sasa maa naTammisemi ni kubwa mnoooo. Pengine ipewe ma naibu mawaziri wawili
kinacho mkosti jafo,ni halmashauri,na mikoa,taarifa za ukaguzi wa ndani anazopewa ni cooked riport,pili wasaidz wake ndo wanamkaanga,kusema wizara ni kubwa sio kweli.hili ni kalipio la tatu kwake,hata hivyo kujituma kwake kwa bidii ndo kumempa credit ya kupewa nafasi nyingine.kuvumiliwa kiasi hiki maana yake wanatambua jitihada zake,Ila inambidi afanye kusahihisha makosa.
 
Huyu si ndio alikuwa anamuhakikishia Jokate ukuu wa wilaya , hata ukuu wa mkoa kumbe ye mwenyewe hata uhakika wa kibarua chake haupo .
Screenshot_20210325-135955.png
 
Back
Top Bottom