kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Kwahivyo Jafo abapokagua majengo/madaraja/barabara anaendaga na akili ya Eng. Nyamhanga?Katibu Mkuu wa Tanisemi ndio Mtendaji Mkuu Engineer Nyamhanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahivyo Jafo abapokagua majengo/madaraja/barabara anaendaga na akili ya Eng. Nyamhanga?Katibu Mkuu wa Tanisemi ndio Mtendaji Mkuu Engineer Nyamhanga
Kwahivyo Jafo abapokagua majengo/madaraja/barabara anaendaga na akili ya Eng. Nyamhanga?
Tusaidie maana ya neno "RUSHUWA"tafadhaliKama umejitambua sawa ni kweli uwezo wako wa kufikiri ni mdogo yani IQ yako ni ndogo inawezekana ni 0.00000001...
Kujiuzuru si sahihi, sahihi ni kujiuzulu.Punguza speed ili uandike kitu chenye "CONTENT" Makosa ya kiuandishi yanaweza kuondoa credibility yako!!..
"Kujiuzuru/watajiuzuru" hiki nacho sijui ni kiswahili cha wapi?Punguza speed ili uandike kitu chenye "CONTENT" Makosa ya kiuandishi yanaweza kuondoa credibility yako!!...
Tafuta nini majukumu ya waziri kwa wizara yake utaelewa lasivyo utang'ang'ana na katibu mkuu!! Kwahivyo waziri ni mtendwaji sio mtendaji? Kwanini ikitokea shida waziri hushughulikiwa chap?? Acha siasa za kizamaniMtendaji Mkuu wa Wizara ni Katibu Mkuu sio Waziri
Kama kukagua hata UV CCM huwa wanakagua miradi ya Serikal
Tatizo Jafo maneno Mengi vitendo zero.Hii ni mara ya pili huyu waziri wa TAMISEMI anahonywa mbele ya hadhara kwamba abadilike katika utendaji wake...
Waziri Jafo ni dhaifu sana TAMISEMI ilishamshinda siku nyingi anastahili kutumbuliwaMh. Rais amesema Wizara ya Tamisemi ina matumizi ya ovyo ya pesa za Serikali, yenyewe haikusanyi ni mwendo wa matumizi kwa kwenda mbele hivyo kamwagiza Waziri Jafo afuatilie vizuri matumizi ya wizara yake na kama akishindwa Basi asaidiwe(atumbuliwe)....
Labda hicho cha kuutaka URAIS kinaweza kumfanya awe target au anakusanya nguvu ya kifedha ili aupambanie maana siasa nazo mkono mtupu haulambwi na penye uzia penyeza rupiaPraise and Worship gang walishasema Jaffo ni Rais wa JMT anayesubiri muda tu. Leo tena hafai, jamani!!!
Kumbe manyani ni sahihi kushangilia bila kuhofia kufa make kama njaa imetupiga miaka 5 bila kufa sembuse hii miaka 4 iliyobakia ya awamu 5.
Jafo ni muwajibikaji mzuri tu, tatizo ni kwamba ana-deal na idara ambazo kuna uozo wa kutisha. Ni nani asiyejua kuwa halmashauri za jiji, miji, wilaya, nk ni maeneo ambayo huko nyuma watu walikuwa wamejihalalishia kuwa ni sehemu zao za ulaji? Miradi feki, malipo feki, tenda feki, safari feki, almost kila kitu feki, ili kuhalisha ulaji na ugawanaji pesa. Kung'oa kabisa mizizi ya huo wizi inahitaji kazi ya ziada!Kumbuka Jafo alikuwa naibu waziri baadae Magu akampandisha. Hiyo inaonesha Jafo ni muwajibikaji ila hawa wa chini ake ndo wanamwangusha.
Halmashauri Zaid ya elfu 5? Kweli Mkuu?Msimponde kwani Tamisemi ni wizara ngumu saaana na ina hitaji uwe na moyo imara.
Unadhani kusimamia halmashaur zaid ya elfu 5 si mchezo wa kitoto.
Weka akiba ya maneno mkuu, hata waliomtangulia walianza hivi hiviYaani juzi tu wala maboga walibwatuka kuwa jiwe ni Rais pekee aliyeweza kuikoa Tz na genge la wezi....
Halmashauri Zaid ya elfu 5? Kweli Mkuu?
Wala mabogaaa...😁😁Yaani juzi tu wala maboga walibwatuka kuwa jiwe ni Rais pekee aliyeweza kuikoa Tz na genge la wezi...