Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Maisha ni kupambana tu tukikalia huruma za wanasiasa ni kufa kwa stress tu,
 
Nipende kumshukuru mwenyezi Mungu rahimu kwa kuturuzuku uhai, hakika leo ni siku aliyoifanya Bwana
Prof Miaka Kenda
 
Rais ajae kamili huyo
Makamu wa rais na Waziri Mkuu kupata urais kwa njia ya uchaguzi ni kazi ngumu mno.
Labda aupate kama alivyopata mama Samia.

Warioba, Malecela, Msuya. Sumaye, Mizengo Pinda, Dr Salim, Lowasa, Gharib Bilal Hawa wote walijaribu kuupata urais lakini walianguka.

Labda huyu awe wa kwanza kuvunja mwiko
 
Na ni mcha mungu kweri kweri
 
Tunajadili Makamu wa Rais CHADEMA inaingiaje hapa? Kaoge inaelekea bado umelowa matako!
Hahahhaha... Una hasira sana!!

Tulia wenye nchi tunapitusha jina la makamu rais, wewe nenda twita kamfuatilie belgiji na kigogo
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kutaja kunasaidia, wale walikuwa hovyo
 
Ila Prof kabudi majalala anajua mapambio safi sana mzee wa full light
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…