Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Mnyukano ndani ya shambani kati ya mazao ya kale na mazao kizazi kipya yametifuana sana na hakuna anayetegemea mpaka sasa kama mazao yaliyorutubishwa kiwandani yangepata nguvu ya kuzidi mazao ya asili.

Picha hii inanikumbusha yule kijana ambaye alitegemea mzazi wake aliyekuwa kigogo kwenye ofisi ambayo yule kijana alipata nafasi kutokana na babake.

👉🏾Aluta continue...
 
Back
Top Bottom