Naona mmeanza kubadilisha mdundo kinafiki tofauti na mlivyotegemeaAah wapi, mama kuchagua YES MAN asiye na madhara kwake.
Acha chuki ww,lini Crdb ilikua ya familia ya Kimei!?Hana sifa iyo, unataka wizara iwe ya familia Kama ilivyo Crdb???
Acha chuki ww,lini Crdb ilikua ya familia ya Kimei!?
Kwa nn mkuuHafai
Kamsome kigogo leo hii
Niko maporini mkuu....netwek sio rafikiNiletea hapa na kwa faida ya wengine.
Wachana na hilo MATAGA yamekuwa kama hata std seven hayakupita kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpango ni Sukuma Gang, Aisee. Kweli kazi ipo.
Hiyo yoote ni team Kikwete na kama unabisha basi bisha kujifurahisha tu.Jipe moyo.
Utajua kuwa hujuiKumbe eenh
Huwa sina mpango naye dada!Kwani hujamcheki leo!?
Wewe tulia sisi tunaendelea na kazi tu achana na udaku wako.Kabudi should be next. Samia should remove Palamagamba kwenye hiyo wizara ya mambo ya nje. Haiwezi.
Kwa miaka mitano na nusu iliyopita ni kama tulitengwa hivi na allies wetu kama Marekani na nchi za Europe, tukaanza kuengage sana wachina, which is way dangerous.
Achaguliwe mtu anayeweza kurudisha mahusiano yetu na Marekani km ilivyokuwa zamani na nchi za ulaya. Just imagine Kuna kipindi mpaka US presidents walikuwa wa nakuja Tanzania, alivyoingia majalala US department of foreign affairs hata msiba wa jiwe hawakupost. Ni crises.
Huwezi ukaenda kwenye UN General assembly ukaanza kuongelea jinsi awamu ya tano Inatengeneza vyoo kwa kasi. Tunachekwa!
Jiwe yupi tena ?Mbona kggo anasema mpango ni jiwe mtupu kulikoni
Niko maporini mkuu....netwek sio rafiki
Upo sahihi na naamini kwa uwezo wa ahlla anafyekelewa mbaliKabudi should be next. Samia should remove Palamagamba kwenye hiyo wizara ya mambo ya nje. Haiwezi.
Kwa miaka mitano na nusu iliyopita ni kama tulitengwa hivi na allies wetu kama Marekani na nchi za Europe, tukaanza kuengage sana wachina, which is way dangerous.
Achaguliwe mtu anayeweza kurudisha mahusiano yetu na Marekani km ilivyokuwa zamani na nchi za ulaya. Just imagine Kuna kipindi mpaka US presidents walikuwa wa nakuja Tanzania, alivyoingia majalala US department of foreign affairs hata msiba wa jiwe hawakupost. Ni crises.
Huwezi ukaenda kwenye UN General assembly ukaanza kuongelea jinsi awamu ya tano Inatengeneza vyoo kwa kasi. Tunachekwa!
Wanafikiri nchi itaendelea kuwa kama kipindi cha JPM.Mpuuzi tu huyo hana lolote zaidi ya kupaparika tu maana anajua kabisa kuwa gang lao ndiyo kwishney
Hahahaa[emoji23][emoji23]
Umeniacha hoi mimi tomaso wa macho na akili..
Nimepekecha macho wee ili nione na kuchanganya akili wee ili ning'amue ulichogundua ila wapi..
Mkuu Umeguduaje ulichogundua?
Hilo ndiyo tatizo walilonalo hao waliokuwa wamemzunguka jpm na hawataki kusikia mabadiliko maana walikuwa wanajidanganya kuwa atatawala milele kama m7Wanafikiri nchi itaendelea kuwa kama kipindi cha JPM.
Samia si Jpm. Mambo mengi sana yanaenda kuwa tofauti.
Kwa taarifa yako Mpango ni team Kikwete.Hahahaa
Mkuu nimegundua kwa kugunduaa
Kuna watu pale utaskia ooh bashiru.
Upande huu unasikia oh makamba
Ukirudi huku oh nchimbi
Mama akaona hii hapana
Yeye ndo raid ndo ana maamuzi ya mwisho,anayo haki ya kuona yule anaefaa kwa sababu zile anazoielewa mwenyewe
Kwa uteuzi wa mpango,makundi yote yameachwa solemba.