Hehehehe whistleblower wa Tanzania wanachat mitandaoni ππππUngemuuliza wewe unayemfatilia. Twitter namcheki Elon Musk na kabla ya sasa nilikuwa namfata Trump peke yao.
Sitomfatilia whistleblower anayeshinda mtandaoni. Whistleblowers huwa wanatoa taarifa mbili tatu tu kwa mwaka, basi. Kina Snowden hawakuwa wanachat mitandaoni na kuretweet
Sina undugu nae, alikuwa Rais wetu na kafanya kazi yake na sasahivi kapumzika..Sawa ndugu yake na mwendazake
Acha kutetea sasa usichokijuaSina undugu nae, alikuwa Rais wetu na kafanya kazi yake na sasahivi kapumzika..
Nisichokijua ni kipi? Ambacho wewe unakijua nduguAcha kutetea sasa usichokijua
Tulia mkuuNisichokijua ni kipi? Ambacho wewe unakijua ndugu
Dotto james magufuli- katibu mkuu hazina
Harry james magufuli-mwenyekiti uvccm taifa
Ruth jonh magufuli- das morogoro
Niendelee kutaja?
Huu upuuzi unatakiwa ukomeshwe. Kama kila kiongozi atakuwa ana pachika watoto, wakwe na nduguze wengine itafika pahali nyadhifa zote za uongozi zitakaliwa na watoto wa vigogo watupuhuyo mtoto wa jiwe yeye ni DAS morogoro na mume wake ni DAS kilosa
Bado kidogo Kama ana wenge hvAmepona??
SawaNilikuwa nasikiliza DW leo mchana nikasikia uchambuzi huu . Sijui imekaaje.
Nilikuwa nasikiliza DW leo mchana nikasikia uchambuzi huu . Sijui imekaaje.
Tulia Ackson namjua, ni Naibu Spika wa BungeTulia mkuu
Haiwezekani jimbo la Makamu wa Rais akapita Mpinzani.. Kwa Mpango kule ACT wasahau tuNa hizo chaguzi mbili za Kigoma watashinda ACT Wazalendo. Wataingia kwenye mjengo kuchangamsha mijadala.
Amandla...
Kwa mama Samia mmegonga mwamba kwani yeye hana mpango na wauza fitina na umbea kama gang lenu mlivyo lelewaHata kiswahili nacho kinakupiga chenga? [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani hii nchi ni yetu sote mtaelewa tu...Asante JPM, Asante Mama Samia, Asante Mabeyo kwa dokezo tunaona matokeo kwa MPANGO. Nchi mbele kwa mbele yaaani!! Pre-2015 tupa mbali kabisa. Waende kwa hao wazungu wanao waabudu na kuwagawia resources zetu.
Mmekwama sukuma gangKama kufanya kazi na serikali Kikwete umekuwa timu yake,basi hata JPM alikuwa timu ya Kikwete maana alikuwa waziri wa Kikwete kwa miaka kumi [emoji1][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1]
Wasukuma mlitegemea mtapata VP eee ππππAah Thubutuu,ilisha enzi za Mkapa tu,subiri Mama atushangaze tena.
Kweli mkuu naona kigoma itakuwa kama kalifonyiaSoon tutafungua kiwanda cha kusindika maweze East Africa hahahahahaahaha KiGOMA MOJA hiooooooooooooo